Kijana nakusihi Sana usimchukie Baba yako Kwa kosa ulilo ambiwa na Mama yako.....Wengine Tunatamani Baba zetu wafufuke tuwaombe msamaha.....WEWE NI WAKIUME IPO SIKU UTAKUJA KUELEWA
Mkuu "Natafuta Ajira" naomba nikupongeze Kwa kuandika ukweli
Mwanamke kwenye early Stage 20's huwa wanachagua maslahi saana bila kujua umri wao wakuthaminika ni mdogo
Unakuta binti kamaliza chuo na ana umri wa miaka 24(ambao Kwa umri wa mwanamke hata kuolewa ni Sawa), ukimletea habari za...
Yakitokea Maandamano Makubwa ,JWTZ litachukuwa Mamlaka ya nchi Kwa mpito na Kufanya Yale wananchi wanacho andamanania, kama ni katiba au mambo mengine.......Mbona Nepal imewezekana......Najua humu watu wengine mmemezeshwa baadhi ya story za jeshi na CCM.....ila ngoja itoke uone Hatua zitakazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.