Recent content by Yuzobrax

  1. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Natafuta wimbo wa UKIMWI ni janga la dunia

    Pamoja sana
  2. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Natafuta wimbo wa UKIMWI ni janga la dunia

    Mkuu huu wimbo unaitwa "UKIMWI" uliimbwa na KILIMANJARO BAND(njenje). Nenda Youtube kasikilize hope utaupata.
  3. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Kujenga ukiwa tayari una familia si mchezo

    Ona kama hili limbukeni, Sasa kauli gan hizo za kuita wenzako masikini na kusema walaaniwe kisa wanadiscuss maswala ya kujenga, kama kuna Uzi ambao hauflow kwenye priorities zako unakaa kimya,Yan kwamba watu wakiwa wanadiscuss maswala ya kujenga wewe unawaita masikini na kusema walaaniwe, uko...
  4. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Kujenga ukiwa tayari una familia si mchezo

    Hivi nyie binadamu mliopewa neema ya kufanikiwa kwenye biashara zenu na maisha kwann baadhi yenu mnadharau sana watu ambao hawajatoboa? Yani kauli zako ni kama unawachukia masikini, kwann usiwe humble na kutoa ushauri wa do's and don't ili watu wafaidike kupitia wewe kuliko kuwadharau na...
  5. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Kujenga ukiwa tayari una familia si mchezo

    Ahsante sana mkuu kwa kutukumbusha sisi vijana ambao hatujao kufanya jambo hili mapema hata la nyumba ya vyumba vitatu then napiga pembeni ya nyumba vyumba viwili vya nje kama madarasa kwa ajili ya wageni nakuwa nimemaliza,hadi hapo kipato changu kitakachokuja kuwa imara Cha kupiga mjumba mkubwa
  6. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

    UTT Amis na hizo bonds ndo inakuwaje? Unaweza kunipa hints kidogo
  7. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Daah kweli mda mwingine ni ngumu sana kusema sisi tuna free will, imagine mtu unajikuta umezaliwa kwenye familia masikini Sana Kila siku ni shida tu, magonjwa na misiba na mnasali Sana, familia nyingine hawako serious kabisa na maswala ya Mungu na wala hawana waganga lakini Wana maisha mazuri...
  8. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Daah hapo umenifanya nifikirie Sana, Kwamba Mungu anakujua hata kabla hujazaliwa kuwa wewe ni wa motoni na bado anakuleta hvyo hvyo uje kuungua baadae [emoji849][emoji849][emoji848][emoji848]
  9. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    True Kila nikiimagine hayo maswali napoteza focus kabisa na nakuwa kama sioni maana yoyote ya kuishi
  10. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Mimi binafsi naamini Mungu katika kristo, kna mambo ya ki-Mungu ambayo nimekosa majibu yake hadi Leo ila bado naendelea kumwamini hivyo hvyo ,Moja ya mambo hayo ni kama vile 1.Nimefundisha kuwa Mungu anajua mambo yote yajayo, hvyo naamini kuwa wakati anawaumba malaika alipaswa kutambua kuwa kna...
  11. Yuzobrax

    JamiiForums Tanzania Makadirio ya Gharama za kuzungusha uzio kwenye kiwanja

    Ushauri mzuri,Kuna mzee pale toka nishanunua alikua anamuangalizia alieniuziaga, so nlivyokinunua nikaona ni vyema nimtumie hyo hyo, hata ikitokea watoto wanaenda kuengua Nazi pale huwa ananipigia simu,so ni mtu ambae nimeamua kuwa nae karib na any updates za pale huwa ananipa,na kna sehem...
Back
Top Bottom