Na hawa ndio waliosababisha kutokea kwa corona, tangu mwaka 2017 mpaka sasa hivi majibu yamepatikana.
Wamewaambukiza watu kifua kikuu wakashindwa kutibu matokeo yake ukatokea mlipuko mpya wa corona.
Mkuu kuhusu huyo nilielekezwa hivo hivo nikawaelewa ofisi ya sekondari Wilaya.
Shida ni kwamba akifaulu kwenda form five atatakiwa awe na cheti cha kuzaliwa, na cheti cha kuzaliwa hawawezi kutengeneza majina tofauti na ya mzazi hasa jina la tatu, maana huyu wa form four jina la kwanza liko...
Wakuu habari, kama nilivozungumzia kwenye kichwa cha habari.
Nina shida na mawasiliano ya TAMISEMI kwa anayeelewa niingieje kwenye website yao au email yao, vilevile sina email yao wala website yao, naombeni anayefahamu mawasiliano yao anisaidie.
Bila kujali ngoja niwaeleze tatizo linalonituma...
Hii habari naona waheshimiwa watakua hawajaiona au kwasababu wako busy na kampeni hawapiti kwenye uwanja huu, kazi kwao manaake mapungufu hayo ndo yanayosababisha wapate ugumu kwenye kampeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.