Yaan kila MTU anatumia jina LA mond kuweka vibifu ujinga,wanapoteza mda WCB upige nyimbo usipige utajua mwenyewe na kwa diamond utampiga tu maake yupo kwenye matangazo km cocacola sasa ukijidai unachuki na mond lazima ujampe,ukifikq nyumbn kwako watt wako wanacheza ngororo,mama anaimba...
Kiufupi ni kwamba kama unakumbuka kulikuwa na show ya harmonize ilitakiwa ifanyike dar live makubaliano mwanzon kbla ya promotion yalikuwa poa,baada ya promotion kuwa kubwa kutoka kwa team ya mond Erick akahairisha akasema anahitaji percent nyingi zaid menejiment ya diamond ika kataa,so baada ya...
Ni kweli jaribu uimbe ww ili ulete ladha tofauti sio kuongea tyuu,af hao wasafi wanaimba ivo mbna ndo wanaongoza kwa kusikilizwa si muwape masikio watu wengine nilitegemea ungeandika kuhusu msanii kama FOBY AU IBRA NATION
Oya msitudanganye na uongo wenu AY hajawahi taja hela halizonazo kwanza af kipindi cha mkasi/ngazikwangazi anamiliki asilimia cio chake sasa ww unasema anamashamba sio ttzo masanja mkandamizaji unajua hana heka ngp za kilim cha mpunga ukiacha mengine kwahyo angekua ametaja kiasi alichonacho...
Oya andika vitu vya maana sio upuuzi huu Kama umenunua ni mbaya c ww mwenyew,kwani aliweka sokoni akulidhishe ww,nenda kweny forum za udaku utoe ushuzi humu
Diamond aliposahv wakumshusha ni MUNGU tu hawawengine hamna mbna eatv earadio hawapigi na akawambia mnajipotezea mda Diamond sio mziki tena ni jina ndo linauza kwahyo tulia muvi liendelee
Labda tu nikwambie we ulieandika upuuzi huu sahau kihusu hilo, kwanza kwenye nyimbo hajapromote mtu,ameongelea hali halisi iliopo,kwa ss kiufupi diamond kishushwa na vyombo ushuzi sahau,diamond na ruge,kusaga,majay ni bampa to bampa kwahyo sahau
NAMBIE MARA YA MWISHO MOND KUITWA
FNL? AU UNAONGEA TYUU USIVYOVIJUA
MARA YA MWISHO NI ALIPOENDA NA RAYVANY TENA ALIKUA AMEVAA KANZU KIPINDI NDO SALOME IMETOKA
Hakuna kitu kam hicho,hakuna wakumuangusha mond TV ni moja,mbna wizkid alikua na mgogoro na MTV,psquare wana mgogoro na soundcity wameyamaliza juzi
TV WALA RADIO CO MOJA WASIPOCHEZA CLOUDS, TV E, WATACHEZA WAKT WAO EISHA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.