Makalio na unene sio sifa kwa muoaji bali ni sifa kwa muolewaj ndio sbabu mke mwenye sifa hizo hapo ju anajisikia sana lakin kwa vyovyote vile tumtegemee mungu kwan kila kitu ni chake
Kubadili din in haki yako lakin hao uliowataja hawakamilishi uislam wala ukristu na kubadili din haimanishi utaingia pepon pambana kusoma kwa bidii vitabu vya mungu na tenda yaliyo mapenzi ya mungu utafika unakotaka achana na hao binadam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.