Recent content by Yuroo yust

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za viwandani au ufundi

    laki 2 mkuu ile ya laki 3 alitoa ufafanuzi kama ulivyo nishaur mda ule temeongea kwaio ndo ivyo
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za viwandani au ufundi

    shukuran mkuu ila kasema now pako full ila ikitokea nafasi atanipigia
  3. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    nimetolea mfano kuwa ata tukijilingansha nao bado kuna mitaa ilio tengwa mfano kama io kibira na mtaa mingine kuna mijengo mingi sasa shida unaita mtu zuzu wakati umekaa zako huko zimbili unakula miwa.
  4. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    kenya wapo mbele sana kuanzia uchumi na mengineyo mie sitetei sana ila amin kenye ipo mbele mfano _ukisema majengo kuna sehem zilizo nje ya mji tena zile kwao wanasema wanaish wasio na hela mfano kuna kibira huko kuna dandora huko relin ila n maghoro sio yale ya kitoto.bei ya chumba KSH 5000 HAD...
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    ndio japo sina uzoefu ila nipo tayari kufunzwa nipo dar mbuyuni kabla ufike kinyerezi
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    n kwel usemalo ila mimi kwa sasa ningepata kaz yoyote ambayo ningesema nifanye ingelikuwa bora sina sabab ya kubagua kazi kikubwa isiwe haramu katika jamii na iwe kazi ilio salama tu.nitafanya kuna vitu mtu unaweza kuongea ila inakubid utulie tu mimi kama mimi namlaum mtu alie leta wazo la...
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    geita kuna umbali sana nikafaham pengine upo jiran na mikoa iliopo dar ningefanya mpango wa nauli nifike.
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    unapatikana mkoa gan wewe
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    mie naimani hakuna alie zaliwa kuja kufanya kazi rahisi na wengine waje kufanya kazi ngumu n maisha tu hutokea na humlazim mtu kufanya kaz yoyote mie kama ipo niambie nijue nafanyaje
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    unajua mtu anapo andika kitu kwenye halaiki ya watu inamanisha anahitaj msaad na pia pengine kafika mwisho wa fikira zake kwaio ni vyema mtu utumie tu busura kumjib mtu kitu kama huwezi n vizur pia kusoma na ukakaa kimya
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    bado sijampata mhisika alie nitumia namba niongee nae nimepigia ila haipokelewi tangia asbhi whatsup pia hajanijib pengine yupo busy ila sijafanikiwa kwa lolote
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    thanks
  13. Y

    JamiiForums Tanzania Natafta Kazi ya kuajiriwa

    niamatumian yangu wote wazima nami namshukuru MUNGU kwa yote ndugu zangu kwa majina naitwa yusuph wambura. napatikana dar kilicho nisukuma mimi mpaka kufikia hatua ya kuvunja ukimya wangu n matatizo yalionipata mimi na kuamua ni kheri nitumie njia hii kuwafikia watu pengine naweza nikapata...
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za viwandani au ufundi

    nakupigia hupokei mkuu whatsup pia upo kimya sms za kawaida pia hujib chochote
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za viwandani au ufundi

    Na pia namba yangu ya whatsup ipo hapo mkuu
Back
Top Bottom