Major mwendwa nadhani umemuelezea huyu bwana vizuri kabisa, lkn pia afahamu kuwa maneno ya Nyerere c wahayi kwamba yako sahihi 100%, na kama ni kweli ccm wangefata baadhi ya mambo mengi ya nyerere, nchi hii isingekuwa hapa, na kama angekuwepo, naamini angesharudisha kadi
Sorry kwa mnaovutana, ila mbona mm leo nimemsikiliza zitto asubuhi star tv, jamaa ana point za msingi sana, na ameonyesha kukubaliana na kilichowatoa ukawa bungeni, na hata yule malaya mmoja wa CCM alipoonyesha kubeza zitto alimpinga wazi wazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.