Mi nadhani unakosea kum attack jenerali ulimwengu, ni haki yake kikatiba kumtaka anaemtaka, kuna watu leo wanaomuona magufuli kama malaika fulani, lakn wapo wanaompinga, hata akija Hittler leo, hawezi kukosa wafuasi, vivyo hivyo EL asingeweza kukosa wafuasi, na kwa taarifa tu, uimara wa EL na...