"Elimu ni ukombozi " wakati mwingine napata wasiwasi , kutokana na mambo yanayofanywa na wasomi wa nchi hii. Angali watu wenye PHD Tanzania , wanafanya mambo ya ajabu ajabu ambayo inafikia mahali naona elimu haina maana yoyote
Tunatakiwa kuomba huku tukichukua tahadhari Mungu atatusaidia. Huu utaratibu wa kuomba huku tukiendelea kuacha mikusanyiko na mwingiliano kwa miji iliyo na maambukizi ni kuhatarisha usalama na ustawi wa wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.