Recent content by yungeni

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Kiti kung'ang'aniwa 2030

    Unaamua kabisa kujizima data unasahau kama humuhumu ndani kuna watu walisema watanzania hawawezi kuandamana wakaandamana Tanzania ya leo kila kitu kinawezekana na wana CCM watakubali na maisha ya kama Uganda yataendelea
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Tabora tunataka RC Muislam sasa

    Kwamba hujui kuwa selekali haina dini?
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Kama nimemnukuu vizuri kamaanisha hivyo
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo amewasili Ofisi Ndogo za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kuitikia wito wa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri Katambi

    Haya mambo ni muendelezo wa drama za CCM kuwatoa watanganyika kwenye fokasi
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030

    Huyo anazania huyo prof ni kama yeye yuko vuguvugu leo anaongea jambo zuri kesho anawaza uteuzi
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Ingredients of treason in Tanzania: Je Lissu katenda yapi/lipi kati ya haya

    Ni swala la muda tu na wewe utafikiwa kama kiongozi mkubwa makamu kafikiwa hata wewe iko siku utafikiwa tu uku kwa wapinzani wameshughulikiwa vya kutosha mtageukiwa na nyie kwa namna tofauti ndio unajuwa kuwa shetani hana rafiki
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Mnyika amjibu Mrema: Ungetaka walipwe wote, ukirudi ofisini mshauri Boss wako mwanasheria Mkuu wa Serikali alipe pesa zetu zaidi ya Milioni 400

    Ndio maana yake na hao mawakili wa selekali hayo maswali yao wenyewe wanaona kama wanamkomoa lisu chadema ila hawajui kama wanaivua nguo selekali maana madudu yote yananaanikwa mahakamani ambayo dunia itayajuwa
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Consistency ya Tundu Lissu kukosoa serikali za awamu zote inafanya watu wamuamini tofauti na wale Wanasiasa wa msimu

    Uko sawa siasa za kitila ni za kina zito kabwe
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Mnyika amewakoboa mawakili uchwara hawatamsahau

    Itakuwa ni debe tupu kabisa lile
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Inachekesha kuona wanaotuhumiwa kwa mauaji ya Oct 29 ndio hao pia mashabiki wakuu wa hizo tume mara ya Chande mara ya Lila

    Sio muda tu na rasilimali za walipa kodi wa nnchi hii
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Uku sahihi kabisa ila na sisi binaadamu tunajisahau sana na ndio maana tukifa tuleta taharuki kwenye familia zetu kwa dunia ya leo ya utawazi inatakiwa tuweke utaratibu wa kukabidhi urithi kwa wahusika ingali mapema kisheria utakaoona wanafaa kukulithi
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Mnyika amejibu vizuri sana

    Ndio kawaida ya watu wenye elimu mbalimbali walivyo
  13. Y

    JamiiForums Tanzania Mnyika amejibu vizuri sana

    Tunakuuliza wewe sasa katika yote yaliotokea kwenye kesi hii na kwa mujibu wa sheria kuna uhaini?
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe: Kamati ya Bunge ilitaja Benki ya Mkombozi, iliyo chini ya Kanisa, kuwa ni taasisi ya utakatishaji fedha, ilikanushwa?

    Kwaiyo unataka kusema mtu akiamua kutoka kwenye mambo maovu na akasema sasa natubu mbele za mungu nakuusimamia ukweli hastahili kusamehewa?
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Mnyika amejibu vizuri sana

    Na hayo ndio malengo wanajuwa kabisa mtu ambae anaweza kupambania na mfumo wa selekali hii na akaaminika kwa sasa ni lisu pekee kwaiyo ni bora pesa ipotee muda upotee lakini lisu akae hukohuko ukonga ila watu wale hii nnchi bila kusumbuliwa
Back
Top Bottom