Recent content by yungeni

  1. Y

    Walio ndani wanasemaje kwenye hili sekeseke la 2030, Acha niseme kidogo ili watu Msidanganywe maana tuna mtu wetu tayari kutoka kwa WAKUU WAWILI

    Halafu hakomi kabla ya uchaguzi alikuja na andiko humu kuonyeaha watanzania hawawezi kuandamana leo anarudia tena yaleyale
  2. Y

    Oktoba 29, 2025 Vyombo vyote vya ulinzi vilikuwa vinapokea maagizo ya Majaliwa

    Halafu bunge likivunjwa si si ndio na baraza la mawaziri linaishia hapo? au mimi ndio sijui kitu
  3. Y

    Trump aomba msaada kwa mataifa waungane kupigana na Iran kupita Homuz, mataifa nengi yamekataa

    Duuuuh kiongozi si kazitaja nchi apo juu ila kasema Japan imekuwa ya kwanza kujitoa hujaona
  4. Y

    Kulikuwa na wazee wa hizi kazi wawili tu. Saddam Hussein na Osama Bin Laden, Viongozi wa Iran wanachojua ni kupiga domo na kutegemea proxy wars,

    Wewe ni mvivu wa kufuatilia hii vita wakati wametangaza maombolezo ya kiongozi wao umeona mamilioni ya wananchi wa irani waliojitokeza?
  5. Y

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Kiongozi unatakiwa kuelewa hapa anazungumziwa mchezaji ambae kabadili uraia FIFA je wametoa uthibitisho kuwa huyo mchezaji ni raia wetu kimichezo?
  6. Y

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Fuatilia vizuri mkuu mmoja wa hao unaosema ni bada hayuko Tanzania na uko anakocheza hakutumia passport ya Tanzania
  7. Y

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Kwaiyo watu waliokufa wakiwa ndani walikuwa na hatia gani mpaka wauwawe?
  8. Y

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Nae waliouliwa wakiwa majumbani mwao nao vipi
  9. Y

    Awamu hii kijana ukishikwa hakuna tena msamaha. Milango ya rehema ishafungwa. Ukibahatika kupona utazeekea Jela

    Huna akili wewe ivi wakati wa maandamano yanafanyika na katazo la kutoonekana baada ya saa kumi na mbili jioni alafu tunaamka asubuhi maduka yamevunjwa na mali kuibiwa waliiba watu gani na ikiwa waandamanao wako ndani?
  10. Y

    PostGE2025 Nimeogopa sana! Kete yao ya mwisho ni udini

    Inawezekana hawo wakawa ni kmkm wamevalishwa kanzu na kofia waseme uwo upuuzi wa udini
  11. Y

    "RASILIMALI ZETU NI CHACHE" Hii kauli ya Rais sijaielewa kabisa naombeni mnieleweshe

    Sasa hayo madini si mali ya akina rastam azizi?
Back
Top Bottom