Hakuna mwanacha isipokuwa nyie CCM ndio mnatumia njia za kitoto kuyatafuta maridhiano kwa kutumia pesa za walipa kodi kumchafua heche kwa sababu hataki maridhiano mpaka lisu atoke jela
Katika kipindi chadema imeimalika basi ni sasa kuliko wakati wowote unaojuwa wewe nyakati zingine zote chadema ilikuwa inatumika kama vyama vingine vya upinzani na nyie mnawachukia viongozi waliopo madarakani leo kwa sababu masilahi yenyu yamebanwa mnahangaika kuwachafuwa viongozi waliopo sasa...
Mkuu huyo asikuchanganye kichwa sisi tuliochanga pesa tulichanga kwenye account za chama sio za heche kwaiyo tunajuwa kama pesa zingekuwa zimefujwa katibu mkuu wa chama ndio muhusuka mkuu kwaiyo kama kwenye tuhuma hizo hayumo basi warudi wakaandandae uwongo mwingine wakutuambia
Na wewe ndio walewale tu aliekwambia maandamano ni kosa kisheria ni nani? Na ninani alikuambia muasisi wa hayo maandamano ni chadema? Uwe unatumia akili makamu mwenyekiti heche alisema wazi kwenye mikutano ya hadhara kuwa wao kama chama wakiwa na maandamano watayatangaza na kila kitu kitafuata...
Iyo yako iko chini tumia majani ya mstaferi kila siku asubuhi chuma majani kati ya saba mpaka tisa chemsha kwenye maji nusu lita kunywa ndani ya siku sabu kapime tena huwa inasaidia kubalans presha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.