Recent content by yungeni

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Napata mashaka mno na CHADEMA, wamelegeza msimamo wao?

    Haki gani unayoizungumzia wewe utakuwa ni moja ya watu wanaotaka lisu aendelee kukaa mahabusu maisha yake yote hapa duniani kwa maslahi yako binafsi
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Muwekeeni mtego mumkamate mtoto akubali then apange nae miadi nyie nyie mkamdake
  3. Y

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TANROADS mna mipango gani juu ya barabara mliyoichimba kutoka Kimara mwisho kuelekea Kinyerezi? Imepita mwaka mmoja hakuna mkandarasi yeyote

    Na mimi naongezea hapo samahani mkuu kwa kuingilia uzi wako nina swali kwa haohao Tanroads mkowa wa kigoma walifanya tathimini ya upanuzi wa uwanja wa ndege gombe mahale kigoma tarehe 17 03 2023 mpaka leo hatujalipwa stahiki zetu ili tupishe mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege watu wanaishi kama...
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Kwanini suala la la uhaini la Lissu limekosa watetezi kuliko suala la ugaidi la Mbowe?

    Brother utapoteza muda wako bule hao ndio waliohamia chauma
  5. Y

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kinachosubiriwa ni Vituko vitakavyoletwa na kinachoitwa Tume ya Chande, wala haisubiriwi ripoti ya Uchunguzi wa Mauaji ya Oktoba 29

    Wala sio njaa mzee anazeeka vibaya kwa cheo alichokuwa nacho na heshima aliojijengea sizani kama ananjaa ila mungu anataka azalilike inaonekakana alikuwa sio mtu mzuri kwenye utumishi wake mungu anataka watanzania mumjue
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Kimara: Polisi walingilia kati kumuokoa aliyepigwa na Wananchi kwa kudaiwa kupoteza nyeti za mtu Mwanaume mmoja

    Ndio maana nimekwambia safi sana kwa watu mbumbumbu hawawezi kuwaza hivyo wao wapo kwenye ushabiki tu watu wazima wasomi wanavaa pin na rababendi
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Barua ya masikitiko kwa wizara ya ujenzi, tangu tufanyiwe tathmini ya majengo Ujiji hatujalipwa pesa zetu

    Mimi nakuelewa sana lakini mkisusa hakufanyi CCM isiunde selekali
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Barua ya masikitiko kwa wizara ya ujenzi, tangu tufanyiwe tathmini ya majengo Ujiji hatujalipwa pesa zetu

    Wewe mkuu hukupigia kura ccm mbunge wako ni chama gani Diwani wako chama gani mwenyekiti wako chama gani pia
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Barua ya masikitiko kwa wizara ya ujenzi, tangu tufanyiwe tathmini ya majengo Ujiji hatujalipwa pesa zetu

    Mpaka leo asubuhi ametafutwa na baadhi ya wananchi wa kata izo majibu alioyatoa hayajatoa tumaini anasema analifanyia kazi sasa hatujui ni kazi gani maana huku hata miundombinu ya barabara imehalibika vibaya mno
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Barua ya masikitiko kwa wizara ya ujenzi, tangu tufanyiwe tathmini ya majengo Ujiji hatujalipwa pesa zetu

    Yaani kiongozi ukitembelea huku kwenye maeneo ya huwo mradi kuna binaadam wanaishi kwenye magofu hali ya kuwa kabla ya kufanya tathimi walikuwa waishi kwenye nyumba nzima
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Barua ya masikitiko kwa wizara ya ujenzi, tangu tufanyiwe tathmini ya majengo Ujiji hatujalipwa pesa zetu

    Habari za Leo viongozi humu ndani hii ni barua ya masikitiko kwa wizara ya ujenzi mimi ni mkazi wa Kigoma ujiji mwaka 2022 selekali kupitia TANROADS Kigoma walifanya vikao kadhaa na wananchi wa kata za majengo na machinjioni wakatoa wito kwa wananchi hao kupisha mradi wa upanuzi wa uwanja wa...
Back
Top Bottom