Unaamua kabisa kujizima data unasahau kama humuhumu ndani kuna watu walisema watanzania hawawezi kuandamana wakaandamana Tanzania ya leo kila kitu kinawezekana na wana CCM watakubali na maisha ya kama Uganda yataendelea
Ni swala la muda tu na wewe utafikiwa kama kiongozi mkubwa makamu kafikiwa hata wewe iko siku utafikiwa tu uku kwa wapinzani wameshughulikiwa vya kutosha mtageukiwa na nyie kwa namna tofauti ndio unajuwa kuwa shetani hana rafiki
Ndio maana yake na hao mawakili wa selekali hayo maswali yao wenyewe wanaona kama wanamkomoa lisu chadema ila hawajui kama wanaivua nguo selekali maana madudu yote yananaanikwa mahakamani ambayo dunia itayajuwa
Uku sahihi kabisa ila na sisi binaadamu tunajisahau sana na ndio maana tukifa tuleta taharuki kwenye familia zetu kwa dunia ya leo ya utawazi inatakiwa tuweke utaratibu wa kukabidhi urithi kwa wahusika ingali mapema kisheria utakaoona wanafaa kukulithi
Na hayo ndio malengo wanajuwa kabisa mtu ambae anaweza kupambania na mfumo wa selekali hii na akaaminika kwa sasa ni lisu pekee kwaiyo ni bora pesa ipotee muda upotee lakini lisu akae hukohuko ukonga ila watu wale hii nnchi bila kusumbuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.