Recent content by yungeni

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Akija Rais atakaye deal na bodaboda nitamshukuru

    Mtoa mada hajakataa bodaboda kuwepo ila kama nimemnukuu vizuri boda wafanye kazi yao kwa weledi kufuata sheria
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Makamanda msiwe na wasisi Tunaenda kumwaga mboga siku ya Baraza kuu la. Chama September 15

    Kwenye hizo pesa wewe ulitoa shiringi ngapi tuanzie apo kwanza
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Heche, dawa ya tuhuma sio wanawake kukufariji ni kujibu tuhuma na kupisha uchunguzi

    Hakuna mwanacha isipokuwa nyie CCM ndio mnatumia njia za kitoto kuyatafuta maridhiano kwa kutumia pesa za walipa kodi kumchafua heche kwa sababu hataki maridhiano mpaka lisu atoke jela
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Heche, dawa ya tuhuma sio wanawake kukufariji ni kujibu tuhuma na kupisha uchunguzi

    Pesa hizo ni za kwenu? Mbona mnapiga mayowe sana kwenye hilo mnajifanya wasafi hali ya kuwa report nyingi za cag huwa mnazipita kimyakimya
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Wanajamii forums mnaringaa sana siku hizi mmeona nini??

    Wanahofu wachangiaji wengi ni kina Lucas mwashamwa sikuizi umu ndani wamechoshwa
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Huenda BAWACHA wakatoa neno kuhusu tuhuma za ufisadi wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa wakati wowote kuanzia sasa

    Yaani walewale wanaoyandaa matukio hayo ndio wanakuja kuyasemea kwenye mitandao ya kijamii wakijuwa bado tuko hamsini kweusi
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Amefanya kila awezalo kuwalazimisha waTanzania. Imeshindikana. Kama hujui sasa nakufahamisha

    Na anajitoa akili hakumsikia mkurugenzi jiji la Arusha?
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Lema: Uchawa unafanya wanaosema ukweli waonekane maadui

    Katika kipindi chadema imeimalika basi ni sasa kuliko wakati wowote unaojuwa wewe nyakati zingine zote chadema ilikuwa inatumika kama vyama vingine vya upinzani na nyie mnawachukia viongozi waliopo madarakani leo kwa sababu masilahi yenyu yamebanwa mnahangaika kuwachafuwa viongozi waliopo sasa...
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Lema: Uchawa unafanya wanaosema ukweli waonekane maadui

    Utaimiss wewe na nani?
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwenye CHADEMA haiwezi kuishi bila ruzuku mpaka kufuatilia tone tone

    Mkuu huyo asikuchanganye kichwa sisi tuliochanga pesa tulichanga kwenye account za chama sio za heche kwaiyo tunajuwa kama pesa zingekuwa zimefujwa katibu mkuu wa chama ndio muhusuka mkuu kwaiyo kama kwenye tuhuma hizo hayumo basi warudi wakaandandae uwongo mwingine wakutuambia
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Chadema njaa tayari, wanagombea maokoto; wanadai ruzuku ya 500m kutoka serikali wasiyoitambua

    Tumia akili mkuu hata kidogo basi chadema wanadai ruzuku ya 2025 sio ya 2026 wewe
  12. Y

    JamiiForums Tanzania 7/7 hakuna watu, Serikali imefanikiwa kuyaua maonesho kwa kutengeneza hofu isiyo na sababu, wafanyabiashara wanalia

    Na wewe ndio walewale tu aliekwambia maandamano ni kosa kisheria ni nani? Na ninani alikuambia muasisi wa hayo maandamano ni chadema? Uwe unatumia akili makamu mwenyekiti heche alisema wazi kwenye mikutano ya hadhara kuwa wao kama chama wakiwa na maandamano watayatangaza na kila kitu kitafuata...
  13. Y

    JamiiForums Tanzania Watu mashuhuri 10 waliopendwa sana na hayati Magufuli katika utawala wake wa awamu ya 5

    Kwenye list yako kuna mtu hukumzingatia alitolewa jalalani mpaka kuwa katibu mkuu kiongozi
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Maandamano sio Njia sahihi ya kupingana na huu utawala dhalimu

    Kiongozi wewe utakuwa u Kiongozi wewe utakuwa ndio umekuja duniani kuja kuilinda dunia yenyewe mkuu
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Presha Iko juu inabadilka badilika nifanyaje kushusha presha

    Iyo yako iko chini tumia majani ya mstaferi kila siku asubuhi chuma majani kati ya saba mpaka tisa chemsha kwenye maji nusu lita kunywa ndani ya siku sabu kapime tena huwa inasaidia kubalans presha
Back
Top Bottom