Na mimi naongezea hapo samahani mkuu kwa kuingilia uzi wako nina swali kwa haohao Tanroads mkowa wa kigoma walifanya tathimini ya upanuzi wa uwanja wa ndege gombe mahale kigoma tarehe 17 03 2023 mpaka leo hatujalipwa stahiki zetu ili tupishe mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege watu wanaishi kama...
Wala sio njaa mzee anazeeka vibaya kwa cheo alichokuwa nacho na heshima aliojijengea sizani kama ananjaa ila mungu anataka azalilike inaonekakana alikuwa sio mtu mzuri kwenye utumishi wake mungu anataka watanzania mumjue
Mpaka leo asubuhi ametafutwa na baadhi ya wananchi wa kata izo majibu alioyatoa hayajatoa tumaini anasema analifanyia kazi sasa hatujui ni kazi gani maana huku hata miundombinu ya barabara imehalibika vibaya mno
Yaani kiongozi ukitembelea huku kwenye maeneo ya huwo mradi kuna binaadam wanaishi kwenye magofu hali ya kuwa kabla ya kufanya tathimi walikuwa waishi kwenye nyumba nzima
Habari za Leo viongozi humu ndani hii ni barua ya masikitiko kwa wizara ya ujenzi mimi ni mkazi wa Kigoma ujiji mwaka 2022 selekali kupitia TANROADS Kigoma walifanya vikao kadhaa na wananchi wa kata za majengo na machinjioni wakatoa wito kwa wananchi hao kupisha mradi wa upanuzi wa uwanja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.