iyo haitumii user name mkuu anatakiwa kuweka namba ya mtihani pamoja na email Apo ikifunguka majina atayakuta umo ndani pamoja na course aliyochaguliwa atajaza anapoitajika kujaza
Note:wakati wa kujaza namba ya shule asiweke nukta Kama tulivozoea
Mfano S.1007/004❌❌
S1007/004✔️ kwa chini utaweka...
Unapoanza diploma vigezo vya chini unatakiwa uwe na D4 kwenye masomo ya sayansi ila kuchukuwa iyo coz unayoitaka Baada ya kuwa umemaliza dip unatakiwa uwe na B± au GPA ya 3.5 na kuendelea kulingana na ushindani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.