Wakuu salaam
Mnamo mwezi june mwaka huu 2016 bunge la bajeti liliweza idhinisha takribani ajira za watu Elfu sabini na moja, ikiwemo Manesii, madakitari, walimu na Laboratory technicians.
Kwa mujibu wa taarifa ya bunge la bajeti, watu hao ilibidi waajiriwe mapema mwezi July mara tu baada ya...
Huwa nafanya program kubwa nne kila siku
1:running dakika 15
2:push up dakika 10
3:Hevy lifting dakika 50
4:kuruka kamba dakika 20
Matokea nimeyaona na tayari nishakuwa addicted
bila zoezi nakuwa kama naumwaa
Naomba ushauri kipi niongeze ili nipate matokea bora zaidi
maaana sina...
Ipi inatoa matokea haraka kati ya hizi
1-Hevy lifting + kuruka kamba
2-Hevy lifting pekee
3-kuruka kamba pekee
4-push up +kuruka kamba
5-kukimbia +push up +lifting
Takribani miezi kumi sasa tangu watz wachague wabunge madiwani na rais wao mnamo October 25 2015
Raisi aliaanza vizuri sana, na akasisitiza raia waungane kumwombea ili uongozi wake ulete tija kwa haraka.
Mpaka sasa kuna sintofahamu juu ya haya mambo yafuatayo
1-Sukari na bei elekezi bado ni...
Tangu nisikie hii kauli, nipo natafuta theory hii ya uchumi
Kuwa pesa ziludishwe kwa mzunguko ili kuondoa ukata
Lasivyo anatoa noti mpya.....
Ngoja nitafute nauli niesepe zangu South
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.