Inawezekana ikawa kweli lkn kumbuka kama mwanamke uliyenae anatabia hizo hata kama atakaa nyumbani asiende semina au kazini basi kuna mtaani wanaume watamtafuna tu... Mtu mzima hachungwi. Ndio maana tukashauriwa kabla ya kuoa tuangalie tabia ya unayetaka kumuoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.