Recent content by YoviAGRO

  1. Y

    Maziko ya Mbwa wa Nassari yalivyowakera WanaChadema

    Wengine wala mbwa huku jamani wanatumia kivuli cha kukosoa Chadema na mheshimiwa Nasari kuhalalisha, nendeni mkafukue kama vipi. Tumechoka kelele zenu
  2. Y

    Wazee wazidi "kuchafukwa", baada ya Mzee Kagasheki leo ni Shivji

    Unawashwa washwa na Chadema wewe.
  3. Y

    Maziko ya Mbwa wa Nassari yalivyowakera WanaChadema

    Ulinzi wa wananchi upo mikononi mwa nani?? Kwanini mashambulio haya yanawafuata sana viongozi wa vyama vya upinzani tena wale wanao ikosoa sana serikali? Kama sio mzandiki, utanipa jibu linaloendana na tamko lililotolewa na hao unao watetea.
  4. Y

    Maziko ya Mbwa wa Nassari yalivyowakera WanaChadema

    daza steven Tumia akili angalau kidogo mkuu, kilochokuwa kinaoneshwa pale ni kiasi gani yule mbwa alivyo toka sadaka kuokoa familia ya Nasari. Maana nyie watu msivo haya, mkikosa mtu mnaua hata wanyama.
  5. Y

    Maziko ya Mbwa wa Nassari yalivyowakera WanaChadema

    Hakika, kubweka kwake na blocking zake ndio zimemfanya kamanda na ndugu yetu Nasari awe hai mpaka leo hii. Shetani mwovu aliyeshindwa anabwata kwa excuses leo hii.
  6. Y

    Maziko ya Mbwa wa Nassari yalivyowakera WanaChadema

    Wanajitoa akili tu mkuu. Sidhani kama mbwa wao wakifa hawawaziki/hawawafukii. Au inawezekana hawajawahi fuga mbwa waone attachment yake na familia ikoje?
  7. Y

    Maziko ya Mbwa wa Nassari yalivyowakera WanaChadema

    Hapo utakuwa umechanganya desa mkuu. Pale hakuna dua lilisomwa, hakuna maombolezo yaliyotangazwa wala mualiko uliotolewa. Kinacho wapigisha wadau kelele ni roho mbaya baada ya kumuona Lema na Nasari wamemshika yule mbwa miguu wakati wa kumdumbukiza kwenye shimo. Labda niuze, we wakifaga...
  8. Y

    Maziko ya Mbwa wa Nassari yalivyowakera WanaChadema

    Mtu kaamua kumpa myama wake heshima kwa kutoa ulizi ulio nusuru maisha yake. Thamani ya yule mbwa ni zaidi ya unavyo fikiri
  9. Y

    Maziko ya Mbwa wa Nassari yalivyowakera WanaChadema

    Kama vipi hamia CCM, mnyama nae kaumbwa afu istoshe haikufanywa ishu ya kitaifa. Ni watu kwa fahari zao tu waliamua kuposti. Kama ungepata mualiko au kuombwa mchango ndio ungebwata. Unaacha kuona upumbavu wa bashite kufanya party mlimani city kwa free entrance, lazimisho la discout ya 70%...
  10. Y

    Love bites na karaha zake

    Msisahau frustrations ziachangia pia, ipo siku atatoka na mnofu.
  11. Y

    Love bites na karaha zake

    Dah!! Akili nyingi nazo majanga
  12. Y

    Love bites na karaha zake

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  13. Y

    Love bites na karaha zake

    Hii ni vampirism, siyo love bites. Mpaka damu zinavilia?
Back
Top Bottom