Ardhi ipo ya kutosha ila kwa mujibu wa Sheria za znz, Ardhi ya znz inamilikiwa na waznz tu na sio vyengine,
Unaweza ukanunua na watu watakuuzia ila hautakuwa ni mmiliki kisheria 🙏
Rethink again and ask yourself if that solution u provide is really matter ?
The more days move on Dunia inashift to Automations (AI), angalia major car producers wote duniani kila siku wanapunguza wafanyakazi na kuanza kutumia robots.
Uzi makini sana Mkuu,
Ila now days still zipo app ambazo just unalipa Tsh 10,000/= per month lakini still watu hawatumii.
Tupe uzoefu wa eneo unaloishi hali ipo vipi katika matumizi ya teknolojia hizi 🙏
Wakuu Habari,
Wakongwe wa biashara tunaomba uzoefu wangu hapa:-
Now days kuna bookeeping and record keeping apps and software nyingi sana lakini kwanini tulija madukani kwenu hatuoni mukizitumia wakati ni kama mumerahisishiwa mzigo,
Shusheni uzoefu wenu kwanini still munatumia local way badala...
Wakuu Habari za Majukumu,
Samahani sana Wakuu, Nina shauku ya kufahamu hili:
TRA wanauza machine za VFD na kuwahimiza wafanyabiashara kununua kwaajili ya daily uses, so, ni requaments zipi ambapo developer anazihitaji kuwa nazo ili awe approved na TRA na System yake iweze kutoa huduma kama za...
"Habari, watu wangu! Karibu Rahisi Point, mahali pa kujipatia TV na SABUFA kwa bei poa kabisa!
Tunakuletea ofa za kusisimua na huduma bora kabisa. Piga kambi nasi kwenye safari hii ya ununuzi smart! [emoji342][emoji91]
[emoji419][emoji419] Pia unaweza kupata OFFER YA Blender au jiko la umeme...
Wakuu Naombeni ushauri katika jambo Moja :-
Kumekuwa na mazoea kwa baadhi ya Mikoa yetu TZ, ukienda kufanya biashara au kampuni, support inakuwa ndogo bcoz sio mzawa wa eneo Lile au mkabila wa pale.
Hasa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro (Samahani )
Naombeni maarifa yenu, unawezaje kutoboa...
Habari, Naamini Kupitia uzi huu watu wengi Sana tutakwenda kunufaika Kupitia majibu yatakayotolewa katika swali langu:
Naamini kwa wakaazi wengi wa Arusha -Moshi, Zanzibar watakuwa ni shahidi wa hili, Tumekuwa tukiona watalii wanaongezeka au hata kupishana nao wakiwa katika magari yao au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.