Big up nape lakin washauri wana ccm wenzako waamke waache ujinga 2020 jina LA jpm piga chin tusonge mbele Tooo much but now its enough fyooooooo tumechokaaaa
Kila siku mpya kila MTU husinama na kusema yake jeh Tanzania Tunaongozwa na sheria na katiba jeh hayo yote yame be adresed kwenye constitution au lengo kukomoa wana nchi na kuwafanya kama wakimbizi maana kuna watu wapo kwenye ndoa na wanafamilia jeh watahesabika kama ??? Wakosefu au wafunja...
Hapa sasa waheshimiwa chakula kilikuwa jikoni ila mboga na unga ndo fimefika sasa baada ya muda maji kuchemka kwa mda mrefu kipindi mpishi wetu anapika naomba tunawe mikono ili kumupunguzia kaz akimaliza cc tumusaidie kutenga chakula mezanit
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.