If you master writing skills
You become
Expert on
1. Writing proposal
2. Writing articles
3. Writing cover letter
4. Writing social media posts
5. Writing WhatsApp status
6. Writing threads
7. Writing sales letter
8. Blog posts
9. Story writing
10. Ghost writing
Kupata $1 mpaka $5 kwa siku
Ni rahisi ukijifunza hizi skills
1. Audience building
2. Copywriting
3. Sales & Closing
4. Offer creation
5. Affiliate marketing
6. Content creation
7. WhatsApp marketing
8. Persuasion and attention
Zitakusaidia kuuza products nyingi online
Point 40 zitakazokusaidia ufanikiwe haraka kwenye freelancing.
Zote ni muhimu sana, Ukuzingatia
Ni rahisi sana kupata maokoto yako
1. Chagua niche (industry) ambayo ina demand kubwa ya wataalam na ushindani wake ni mdogo sana
Mfano AI, Blockchain, renewable energy, real estate etc
2...
Nafasi za kazi Tigopesa
Unapewa access na training ya kuuza vifurushi na line za lipa namba
Nenda ofisi za tigo shop Tabata bima
Ukifika Tigo shop Tabata bima
Mpigie simu muhusika 0675764477
Atakusaidia
Au mtafute WhatsApp akupatie utaratibu
Wa kuunganishwa.
Ni bure kabisa
Fika ofisini...
Kuna scam moja inatrend
Kuna watu wanajifanya Indonesia (japo ni jirani zetu)
Wanawacheki watu WhatsApp, wanapanga na task za YouTube likes wanawalipa buku buku
Badae wananogewa wanaingia kwenye mtego wa ku deposit pesa kubwa
Nimepokea kesi nyingi WhatsApp
No easy money
Kujifunza skills
Kusoma kozi
Kupata certficate
Sio guarantee pekee ya kupata kazi online
Lazima ujue pia kufanya marketing ya hizo skills
Kutafuta clients, kuwafikia clients walipo.
Mwisho wa siku ujue kuziuza
Shanga kitaalamu
Kwa mtoto mdogo huwa anafungwa kamba kiunoni hiyo kamba inafungwa dawa au mkaa au kitu chochote cha baharini kwa ajili ya ulinzi
Kwa mwanamke shanga anakuwa amefunga madawa yake ili akukamate vizuri
Huwezi kuyaona kwa macho ya kawaida
Ila mwanamke anayevaa shanga kwenda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.