Babu baada ya kwenda mjini akitokea kijijini alipokelewa kwa vyakula na vinywaji vyakutosha, mpaka akasaza, baada ya kushiba na kuanza kunawa mikono, akasikia mwenyeji wake akìsema "weee david? Hebu mletee babu yako tishu",
babu kuskia vile akasema "aah jamani nimeshiba, hizo tishu niwekeeni...