Mke bora hutampata eti kwa umaarufu wa kibiashara haya ni mambo mawili tofauti na kwa sababu umetanguliza status mbele bas utakayempata atakuja kwa sababu ya kukuchuna tu
Chunguza je anakupenda kweli? Au anataka awe na wewe kwa sababu ya kazi isije ikawa ni kwa sababu ya hali ya nyumbani kwao tafuta mbinu ikibdi mpe mitihani itakayokufanya utambue kama kweli she loves you for real
Tusaidie huwa mna maana gani maana huku si kutafuta kupendeza wakati mwingine mschana anavaa nguo ambayo inaonyesha maumbile yake mpaka nguo ya ndani inajulikana rangi yake lakin uyo ni mpenz wa mtu sasa uku ni kutafuta kupendeza? Tusaidie tufahamu
Ndio maana ndoa nyingi hazidumu tatizo ni kwamba wameacha vile Mungu alivyoagiza mwanamke amtii mumewe na awe mnyenyekevu hata kama mwanamke awe na elimu au mali kias gani lazima ieleweke tuu yeye yupo chini ya mwanamume alichotamka Mungu kamwe hakiwez kupingwaa
Haya sasa hicho ni kipimo cha upendo wako ila kama ni mimi siwez kukubali yaani mpaka mtu apatwe na tabu ndio aone uthaman wangu?? Na je tabia ya ulev ataiacha? Mi nakushauri mwache aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.