Recent content by yohana avith

  1. Y

    Kataa CCM, kataa ubaguzi, mpuuze Justin Mushi

    Malisa upo sahihi kabisa,wakaz wengi wa siha ni watu wanaopenda kutenda na wagumu kubadilika wanapoamua,Mwanri alikwishaharibu na hata 2010 alishinda kwasababu CHADEMA walikuwa na mgombea dhaifu eng Tuni,ninakumbuka hata Dr Mollel alipokuwa CCM bado alimsumbua jamaa kwenye kura za maoni.Jamaa...
  2. Y

    Natafuta Kuku aina ya Makoko

    Kama tatizo ni bei,muuzaj angejitokeza na kutaja yake na tusingeshindwana hakika,kukaa kimya kisa bei sifikiri kama ni sababu
  3. Y

    Natafuta Kuku aina ya Makoko

    Wadau ninasubir response kuhusu hii kitu
  4. Y

    Natafuta Kuku aina ya Makoko

    Nimekosea ni makoo siyo makoko
  5. Y

    Natafuta Kuku aina ya Makoko

    Natafuta Makoko yanayoanza kutaga kwa bei kati ya shiling 5,000/= na 6,000/=. Yasipungue makoko 40. Napatikana kabuku Tanga, kwa yeyote alie karibu ama aliye dar na mwenye mzigo huo wa kutosha nipigie kwenye namba 0714639590.
  6. Y

    Msaada: Kiwanda cha kutengeneza toothpick Tanzania

    Ni wazo zuri, linataka thorough survey. one big challenge ni Mtaji. unatakiwa uwe na takriban 50M. kuhusu kibali sijajua vinatolewa kwa utaratibu gani, ila pia kama utaanzisha kama mjasiriamali mdogo unaweza kupata ahueni. pia naomba kupata mawasiliano ya LAT anaweza kunipa challenges...
  7. Y

    Msaada: Kiwanda cha kutengeneza toothpick Tanzania

    Naomba kufahamishwa ni wapi wanatengeneza toothpick Tanzania.
Back
Top Bottom