Hapana sikuogopa kuleta, sijapata mtu nikafanya nae biashara, naona kama nikipata mtu mfano Mwanza nasikia wanashida sana na viatu vya shule vya ngozi. Sasa natamani nipate mtu tukaaminiana tufanye biashara. Nakumbuka kabla ya corona nilikuwa naweza kusafirisha nguo za kiafrika Ulaya Ila toka...
Sasa hiyo trust ya mtu kukutumia pesa nyingi na mtu haupo Tanzania halafu ndo unaanza yaani kaka si kitu rahisi, imagine unauza goggles kwa sh. 25,000 mtu anagoma kabisa kutuma advance just half of the price, ndo ikaje million haki trust kwenye business ni changamoto.
Hili Lina ukweli kabisa, hizo changamoto hata mimi nilizipitia sana kwenye biashara yangu ya kwanza. Sasa nikaja na biashara ya kuuza vitu vinavyohusiana na swimming lakini lugha hapo ni English tu, yaani chat zote za DM ni English basi bwana trust kama yote kwa wageni mpaka wenyeji. Yaani Sisi...
Yaani ni Bora umenitoa wasiwasi maana hata Sisi huku Mbweni JKT mida ya saa mbili usiku kilichonishangaza ni ule mpangilio yaani nikasema kweli haya ni maajabu.... halafu in ten seconds zikapotea Ila kwa sisi wageni ile hali inatisha sana. Itabidi niwaambie majirani zangu maana nao walipata hofu.
Yaaani kwenye hili nami naunga mkono, yaaani nikiingia kwenye gari nikiliwasha tu nazima redio faster, kumbe ni safari ya uzee dooooh na kweli kabla nilikuwa napenda muziki Sana.
Je katika ndoa yako umewahi kucheat? kama ndiyo na Je mkeo anafahamu? Kama ndiyo yawezekana shida ilianzia hapo, ogopa Sana mwanamke ambae anakuamini Sana na wala Hana wazo siku kukucheat halafu akajakugundua ulikuwa ulikuwa unamcheat. Huyu hawezi kukucheat isipokuwa atakachofanya ni ye ye...
Nilipokutana na mwenzangu tukakubaliana tv tutanunua mtoto akifikisha miaka mitano, na pia katika hiyo TV hakuna Mambo ya ving'amuzi, so tumeweka account ya mtoto kwa special program, na Sisi pia tu watch movie mtoto akiingia tu kulala. So ana miaka 9 lakini hajui miziki hata majina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.