Recent content by Yna97

  1. Y

    INAUZWA Nauza Bajaji Namba B

    Bajaji Bei 1.5M, Iko vzur engine iko vzur, njoo ukague ulipie uondoke nayo mawasiliano 0693 794 907 location Dar es salaam Airport N.B haijaenda body.
  2. Y

    Mimi ni Dereva Bolt, Uber nk., natafuta kazi

    Samahan nilikuwa sijaingia huku siku nyingi, ulifanikiwa kupata? km bado nambie ipo
  3. Y

    Nahitaji ufafanuzi wa kodi ya biashara

    Sijajua alitumia kigezo gan lakn vikundi ni association japo kwny ulipaji wa kodi inaiandikwa CIT lkn haina maana km iyo ni kampun
  4. Y

    Nahitaji ufafanuzi wa kodi ya biashara

    Corporate tax ni kwa kampuni tu iliyokuw registered na Brela. Kikundi iyo ni Association. Unaweza ukawa mtu wa kawaida na biashara yko ina ina business name na usiwekwe kwny category ya kampun
  5. Y

    Mimi ni Dereva Bolt, Uber nk., natafuta kazi

    Je ikipatikana bajaj vp unaweza fanya?
  6. Y

    Nahitaji ufafanuzi wa kodi ya biashara

    Cha kwanza kabisa kodi huwa inatozwa katika vitu vikuu viwili. Turnover (mauzo) na profit (faida). Kodi inayotozwa kupitia mauzo kwa mwaka. Kama mauzo yako yapo chini ya 4M kwa mwaka ww unapewa NIL Assesment (makadirio ya sifuri) kwa maana hulipi kitu. Na una sifa za kutumia kitambulisho cha...
  7. Y

    Nahitaji ufafanuzi wa kodi ya biashara

    Ulifanikiwa kupata jibu la swali lako?
  8. Y

    Ninahitaji Choroko, kilo kwa Tshs 1400 Dar

    Unapatikana wap? 0694 259462 nicheck
  9. Y

    Ninahitaji Choroko, kilo kwa Tshs 1400 Dar

    Unahitaji choroko?
  10. Y

    Mtoto kukutwa na kidonda angali tumboni mwa mama

    Hapo kikubwa ninachoona kaka angu ni uzembe wa madaktari. Sababu toka njia ya mke wako kuanza kufunguka hakutakiwa kurudishwa nyumbani zaidi ya kuendelea kubaki hosptali kwaajili ya kumfatilia zaid. Naiman kama angekuwa alibaki hosptali bila kurudishwa nyumbani maisha ya mtoto yangeshaokolewa...
Back
Top Bottom