kweli mkuu hawa clouds ni wangese sana ipo siku watashuka, tulikua na tbc taifa,kisha earadio sasa ni wao clouds .its a matter of time watashuka tu, wanajikuta miungu mtu, wananiboa kinyama, wanataka kusujudiwa kama ruby alichokifanya, kwa mond watasubri sana
ha ha ha kwahiyo mkuu ulitaka barabara ipate katikati ya yale majengo pale, ua not serious nyumbu, hivi ushaliona hilo jengo la tanesco kwa macho kweli, kajengo kembamba vile unafanansha na hilo. wewe nyumbu go back to school aisee
huo ubunifu ungegharimu sh ngapi? sema hapo kuna issue ya kisheria mkuu,jengo liko ndani ya hifadhi ya barabara, sheria haiwezi kupindishwa for the sake of gharama, sheria ifuatwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.