DR. SLAA kwa uelewa wangu amezaliwa 1948 sijui 70 inafkaje! Hata hvyo MANDELA alizaliwa 1918 akawa rais mwaka 1994 alikuwa na umri gan? Hamd y acha utoto.
DEO SANGA(JAH PEOPLE) mbunge wa NJOMBE MJINI HANA CHETI HATA KI1 lakini alisoma darasa la KWANZA na PILI alisoma miez 2 tu. Lakini ni mbunge kwa kujua kusoma na kuandika WATU WENGINE MNAOKONT ACHENI UJUHA WA SHERIA NA KATIBA YA 1977 YA JMT. Maelezo ya mgombea yanajitosheleza kwa hilo.
Sioni chama tishio kwa chadema zaidi ya polisiccm wanaotupga mabom, kutuuwa na waliouwa ndg yangu mwangosi but days accounted its a matter of time and time will tell.
Ccm mnatafuta huruma ya wananchi. Eti wamerushiwa risasi, mwingne iringa ametishiwa kuuwawa. Muache usenge leta hoja ukijua inaktana na watu wenye uelewa. Kama mmerushiwa risasi muulizeni MWIGULU CHEMBA DHAMIRA YAKE NI NIN? Na atakacho wajibu ni kuwa tunawahadaa wanachi ionekane chadema wanaleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.