Bado una hasira, ukishapoa na ukapenda tena utapika vizuri tu, tena chakula kitamu zaidi.
Mshkaji umemuacha wakati bado unampenda tena sana. Baada ya mda utampata atakaekusahaulisha machungu, utakuwa sawa. Haya mambo hayana rules.
Pole.
Mkuu Bossless kwenye post namba #1, kwa chini, ungeweka inaendelea post namba # ngapi, then post namba # ngapi, hivyo hivyo unaongeza kwa mtiririko, ili mtu anaeanza kukusoma aende moja kwa moja zinakoendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waafrika bana! Hilo ni swali la kawaida sana, ulitakiwa kumuelewesha kuwa kodi iliisha umelipa. Labda asingekuelewa ndio kungekuwa na tatizo.
Kitendo cha kuombwa 300K wakati una 350K kilikuchanganya ukashindwa kufikiri vizuri, ndio maana hata hilo swali la kawaida ukalichukulia kivingine...
Pole sana mkuu, huu ni mradi wa Vodacom wa kujiongezea mauzo kinyemela! Na hii tabia Vodacom wanawafanyia wateja wao wote wanaonunua salio kisha wanajiunga na vifurushi, hata kama umezima data.
Ni mradi kwa sababu, mteja anaponunua vocha ya TZS 1000, na hawezi kujiunga na kifurushi cha TZS...
Wanawake hawafanani, wengine wanapenda kuliwa ndogo wengine hawapendi, kama wanaume pia wengine wanapenda kula tigo wengine hawapendi.
Kama umeingia choo cha kike haina maana kuja kulalamika humu, achane nae tafuta mwingine wa kukufurahisha. Maana hapa unapolalamika kuna washkaji wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.