Kama taifa bado tunahitaji msaada wakati tunajipanga kujitegemea, kwani bajeti yetu haijitoshelezi kwa 100%. Kama mtumishi kwenye sekta ya Afya na miradi mingi kwenye eneo hili ni msaada ya wafadhili, sioni umuhimu wa kujifanya haraka hivi tunaweza kusimama wenyewe. Tukiendelea hivi tusije...
Ubunge na madaraka mengine siku hizi yamekua ni sehemu za ulaji na sio utumishi.Na ukiangalia wanavvyowekeza fedha nyingi ili wapate hiyo nafasi, lazima wafanye mipango michafu ili hela irudi na faida! Kaaaazi kweli kweli!
TRA ni tatizo kubwa. Hawana mazingira rafiki kwa tunaoagiza magari kabisa! Labda wabadilike awamu hii, sasa ukiangalia walivyobanwa kuhusu ulaji wao!!! Let's wait and see
Ukweli ni kwamba huo msaada kama Taifa, Tanzania tunauhitaji sana, na ungeweza kusaidia Ku boost kasi ya miradi kwa Serikali ya Magu. Hapa tusitie siasa. Wamarekani wakati wanasitisha walishatoa angalizo kwmba moja ya sababu ni ile sheria ya January Makamba a.k.a CYBER CRIME ACT, ambayo kimsingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.