Anatupeleka CHATO maandalizi ya kutupokea yameshaanza uwanja wa ndege wa chato ukiisha tu safari inaanza ndege za kutusafirisha zinaongezwa, hapo si powaa
Kwenye ufunguzi wa jimbo la DIMANI alisikia MAALIM akisema haki ipo karibu mambo mengine si ya kuongelea kwenye mikutano, nadhani ilimuogopesha (mshindi halali atangazwe uchaguzi wa Oktober 25/2015 wazungu wamekomalia inawatia preshaukichangia na mamikopo ya bajeti kwenye mabenki ya binafsi...
Huyu jamaa afikiriagi kutuua kweli iko siku uzalendo utamshinda ataonyesha hisia zake kwa wakosoaji wake mbona hawi kama watangulizi wake? Duhhhh kazi tunayo
Kuna mijamaa ya sisiemu huwa inasema huyu jamaa ni copy kama nyerere niwaulize tena hivi mapigo haya nyerere nayo alikuwa nayo kweli. Haya mapigo tunayo pewa ni ya mbwa mwizi masisiemu mlicho tufanyia wa TZ sicho na hasa JK na BENJA
Siasa za nchi hii tunarudi nyuma kwa kasi ya ajabu badala ya kwenda mbele kwa kasi hiyo kuna neno ZITO KABWE aliliongea lakini alikuchukuliwa kwa uzito sasa naona ZITO alirudie kwa msisitizo linahusu majanga ya mfano wa Samuel Doo marehemu (Liberia)
Nyie macheza makamali kazi gani usiokuwa na uhakika utapata unachokikusudia hiyo ni kamali usiihalalishe kuwa ni kazi ya uhakika angalau mseme ni BURUDANI yaani starehe kwenu kama maunga. Mleta uzi uko sahihi
Hili LILEVI linasifa ya ubabe toka lilivyopata tuhera twa SADAKA sasa linatuchokoza chadema ndo tulilituma likalewe limtukane jirani yake na huyo Lowassa anahusika vipi na MAULEVI yake TUKOME na MANDUMBA yako tunasubiri uwauwe hao waandishi tarehe ikifika kama ulivyoahidi tukuchome moto kama KIBAKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.