Kama kweli utawala wa kijeshi ndo suluhisho basi Africa ingekua ndo bara lenye maendeleo kuliko hata ulaya. Africa ndo bara linaloongoza kuwa na mapinduzi ya kijeshi lakini Bado ni maskini sasa wewe mwenzetu unaona suluhisho ni kuongeza mapinduzi ya kijeshi sio kupunguza😂
Badala ya kuweka ulinzi kwenye mbegu za asili kwanini usiseme serikali iwekekeze na sisi tutengeneze mbegu zetu ambazo ni za kisasa pia? Technology Kila siku inaenda mbele hairudi nyuma. Mbegu za kisasa ni Bora kuliko za kizamani. Zinaweza kuvumilia ukame na magonjwa. Ukitaka kutumia mbegu za...
Mfano mwingine ni kampuni ya mafuta ya shell. Jamaa walikua na jina kubwa kiasi kwamba mpaka Leo hii watanzania vituo vya mafuta vyote wanaviita shell. Ukishakua na brand kama hiyo biashara yako inajitangaza yenyewe.
Ni sawa na Elon musk alivonunua Twitter na kuiita X. Zamani ilikua ukisema mtu flani ame "tweet" moja kwa moja watu wanajua unazungumzia Twitter ila saivi zinaitwa "post" sio tweet kwaio inabidi utoe maelezo mtu amepost wapi. Facebook, Instagram, Whatsapp X wote wanatumia neno "post". Brand...
Kwan malimao na ndimu zimefanyiwa utafiti na nani? We kama unaona chanjo hazijafanyiwa utafiti basi achana nazo tu ila usifosi watu wafate ushauri wako wakati wewe mwenyewe hakuna unachoelewa.
Dunia ni kubwa sana aisee. Tembea uone watu wanavoishi utajifunza mengi kuliko kurudi kijijini sehem ambayo hawakujui wala huwajui eti kisa babu yako ndo alipotokea. Mzungu katembea dunia yote katawala karibu kila nchi na hata kabila lake halijui. Saiv wanatengeneza marocket wanataka kwenda...
Raia weusi wapo wengi tu hasa nchi za gulf ambapo ndio biashara ya utumwa ilipofanyika sana. Kama uliangalia kombe la dunia timu ya taifa ya saudi arabia karibu nusu ya wachezaji ni weusi au wana asili ya ki africa. Oman, qatar, yemen zote zina waarabu weusi wengi tu.
Sent using Jamii Forums...
Hilo ni anti tank missile ila ni missile aina ya spike ambalo ni la wa israel sio marekani. Sijui Hezbollah wamelitoa wapi maana al qaeda na isis sio rahisi kupata silaha za Israel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alichukua anazungumzia kanye ni utumwa wa kiakili. Hata wazungu na waraabu wenyewe mababu zao walikua ni watumwa zamani lakini ni waafrica tu ndo hadi leo tunalaumu matatizo yetu kwa utumwa au ukoloni. Ndo mana kanye anasema "We're mentally imprisoned."
Kwaio wanaposema "put down their weapons" manaake ni kitu chochote kinachuweza kuuwa hata kisu au jiwe? Maana wapalestina hawana silaha zozote za kisasa za kuitisha israel lakini israel bado wanaendelea kuuwa wapalestina kila siku
Sasa mbona wapalestina hawana weapons zozote zaidi ya vi rocket vya kutengeneza wenyewe. Israel wana kila aina ya weapons, ndege, air defense za kisasa kutoka marekani lakini bado kuna violence. Au weapons gani anaongelea bwana netanyahu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.