warioba na watanzania wengine wanayo haki ya kujadili katiba mpya inayopendekezwa, ili kuwapa watu fursa ya kuielewa vizuri kabla ya kuipigia kura ya ndio au hapana. katika nchi ya kidemokrasia kama Tanzania kuvumiliana ni jambo muhimu na si la kupuuzwa kama ilivyo tokea hapo jana. tujitafakari...
kumekuwa na utoaji holela wa elimu ya sekondari usiozingatia ubora na tija kwa taifa. Mbali na serekali yetu kuwa na mipango mikakati mizuri ya kuboresha elimu kwa ujumla bado wapo watu wamekuwa wakiichezea elimu hiyo kama kichwa cha mwendawazimu, hayo ni baadhi ya mabango ya vitambaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.