Habari za Jumapili wapedwa.
Napenda kuuliza Wazoefu wa safari ya Nairobi kutokea Arusha.
Mimi naitaji kuelekea West Land. Lakini sifahamu chochote. Kwanzia
Nauli ya kwenda na kurudi.
Gharama za hoteli rahisi na sehemu Salama.
Pia chakula na hela nichanci nikiwa navuka kuingia Kenya?
Msaada...
Tax drivers wa makampuni si wakazi wa hapa (Qatar) ni wa Hindi naona wa Filipino kwenye nursing na Wa Africa pia. Inategemea wewe umepata kazi au unakuja na visiting Visa then unatafuta kazi.
Hi guys. Princess here
Jamani kwa yoyote Aliyoko kikazi hapa Qatar Tujuane tafadhali. Mimi Naishi Al-Dayeen municipal.
Nawakaribisha tujuane kwa changamoto na kuelimishana pia ili tuweze kufikia malengo yetu. Only in U.A .E
[emoji1545]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.