Habari Viongozi TAMISEMI naomba kujua kuhusu Nafasi za Ukufunzi wa vyuo vya Kati mbona Huwa hazitangazwi ni dhahiri watumishi hustaafu katika vyuo mbalimbali nchini, je hizo Nafasi zinajazwaje? naomba ufafanuzi kidogo.
Vyeo vya kada ya ualimu si michezo hata mm nimefikiria kihama hii field lakini sioni njia Bora utafute Nafasi ya kuamia vyuo vya Kati kwenye ukufunzi kidogo unaweza pata ahuweni kuliko serikali za mitaa ni shida tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.