Kaka hii nchi inawehu wengi walio jitoa fahamu kaziyao nikusifia serikali kilakitu ata kama nipabovu yaani hii nchi bila kutoka ccm hakuna kitu kipya kitatokea.
La Kwanza kushindwa ccm mpaka watanzania wote muamke mkiwa mmewekewa walau ka form 4 kchwani.
Pili raisi hapangiwi wala hashauliwi naukibisha kalishauli jiwe kama litakusikia.
Tatu na mwisho bunge lifutwe linakula not zetu za bure.
Duuu!!! Mungu tusaidie waja wako angalia wapi tumekosea pia tupe ujasili wakusema hapana kwa pamoja.
Pia tuondolee wote wanao jitia upofu ile hali wanajua kilakitu ila matumbo yao yana njaa.
Kwakusema hayo machache amennn.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.