Samsung s7 edge inanipa raha sana hadi nasahau kama ni smartphone maana nikitoka home asubuhi, naiweka kwenye chaja the next morning mida ya saa kumi na moja asubuhi, halafu ni fast chaja so saa moja naikamata naingia kwenye shughuli hadi kesho yake tena. Ingawa siku nikiikamata full time ndio...
Pole sana mkuu,
Nakushauri nenda karipoti polisi kama una IMEI number ya hiyo simu, siku hizi wanafanya kazi nzuri sana ya kutafuta simu zilizoibiwa wakishirikiana na TCRA.
Mi nilishawahi kupoteza simu niliipata bila shida yeyote na kama ni mwizi unakamata akiwa hajui kama anakamatwa.
Hapana mkuu
Maana nikiweka then nabonyeza "register" inabaki dormant tu, nimeiacha hivyo kwa muda then nimejaribu hamna kitu, nikazima simu na kuwasha lakini holla
Nimefuata procedures kama ulivyoandika na Android Id nimeipata ila nikiiweka pale sehemu ya kuregister then nabonyeza "register" hairespond, shida ni nini hapo mkuu?
Poleni na majukumu ya weekend wadau wa jukwaa hili muhimu.
Kuna movie nimedownload kutoka "Piratetorrent.net" inaitwa "13 hours The secret Soldiers of Benghazi", shida ni kwamba iko cmpresed kwa winrar na iko na password, Kuna link jamaa wameweka ili kupata password Lakin nikiingia kwenye hiyo...
Mie sio mtaalamu sana wa hizi computa ila nimekuwa mtumiaji sana wa computa kwa muda mrefu na nimetumia window nyingi xp, 7, 8 na sasa niliupdate to 10. Naona window 10 iko powq sana, naipenda maana imeongeza speed ya pc yangu, ishu ya virus imepungua, then naipenda internet explorer iko very...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.