Tunajinasibu serikali inapesa na hatubabaiki na mikopo ya wahisan kama tunaweza kuendesha miradi mikubwa kwapesa zetu kwann tunawaogopa hawa watu au viongoz mnatupiga changa lamacho mchana mnatuambia tunapesa zakutosha ucku mnasain mikopo kmya kmya.
Labda nkupe mfano mmoja hlf utaniambia hapo uzoefu na shule kp knachukua nafac yake.Kunamcmu mbuga huwa inachomwa moto kwaajl ya kuruhusu majna kuota vzr n km tunavyo jua mbuga ya mikumi brbr hukatza kat mcmu wa kuchoma unapofka wanachoma mpk majan ya pemben kbs ya brbr ss kwa sheria ya shule km...
Ila pia mkuu kunaktu knaitwa uzoefu unaweza kuwa na vyet vyako hata FUSO zma lkn km huna uzoefu ukashndwa kupata kaz mbele ya mtu ambae Hana chet lkn ana uzoefu mana uzoefu wakat mwengne unazdi hata mafunzo ya shule co kla swala lnalo tokea brbrn bac shule mnafundshwa mengne hakuna shule lkn...
Mkuu ni sheria gan labda unayo ihitaj niwenayo?labda ulza tu chcht unachohc knaweza kuwa ndio usalama wa mzgo nami ntakujbu kadri nnavyo faham hlf ndio utaona km jbu nmekosea bac ntakuwa kwel cjui ila co kuish kwa zana hyo.Lkn pia mkuu labda hujafaham utaratibu uliopo pale NIT n kwamba wanaosoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.