Ndugu hiyo mijadara ya maendeleo jadili mwenyewe sisi tunataka haki itendeke, kuna watu wanazaidi ya miaka 20 kazini wamefukuzwa kwa tuhuma za vyeti. It is simple athibitishe elimu yake tu.
Kuna la kujifunza kutoka CCM:
Kwanza niseme tu kuwa mimi naunga mkono upinzani, lakini nimeona kuandika uzi huu baada ya kuona kuna kitu ambacho sisi wapinzani tunachakujifunza toka kwa CCM. Pamoja na mapungufu mengi ya chama tawala lakini bado angalau wana mifumo ya kidemocrasia hata kama...
Kila mtu anahaki ya kusimamia yale anayoyaamini yeye mwenyewe. Japokuwa Pro. Lipumba nae ana haki hiyo naomba wanajukwaa tulimulike swala hili kwa jicho la ndani na mbali.
Pro. Ni mwenyekiti wa chama (High profile leader in CUF), angeweza kutumia vikao halali vya vyama kutoa mwelekeo kwa chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.