Recent content by YAGHAMBA

  1. YAGHAMBA

    Hongera Rais wa JMT. Nimeona nyumba wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro huku Handeni. Kusema kweli unastahili kuwa Rais wa JMT

    Nami nimefungua hii mada fasta ili nione picha kumbe ana maneno tu...........
  2. YAGHAMBA

    Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

    MKUTANO UNAHUSU MASUALA YA ULINZI NA USALAMA, HUSSEIN MWINYI ANA UZOEFU NA MASUALA HAYO KWANI AMEKUWA WAZIRI WA ULINZI KWA MUDA MREFU.HIVYO ATAKUWA NA MTAZAMO MPANA WA MASUALA YATAKAYOJADILIWA HUKO.
  3. YAGHAMBA

    GE2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

    UNADHANI KWANINI WAKAWEKA HAKO KA KIPENGELE KWENYE KANUNI ZAO???
  4. YAGHAMBA

    GE2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

    Wakuu kumekuwa na ile kanuni au sheria ya kutompatia wakala wa chama nakala ya matokeo ya kura ikiwa hakutakuwa na nakala za kutosha za matokeo hayo. Nahisi Tume imeliweka jina la CHADEMA mwisho kwenye karatasi hiyo ili kila wakigawa nakala za fomu za matokeo zisimfikie wakala wa CHADEMA kwani...
  5. YAGHAMBA

    Alianza Museveni kutunanga sasa Cyrill Ramaphosa

    Tupo wengi saana , zaidi ya 99% ya watanzania tunaweza kuwa bora kuliko yeye
  6. YAGHAMBA

    Yusuf Manji ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kukutwa na sare za JWTZ

    Tena utakuwa ni mchango wa kuanzia siyo wa kuhukumu
  7. YAGHAMBA

    Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

    Dereva wa lori ni mhuni kupindukia
  8. YAGHAMBA

    Matokeo ya Bunge la Afrika Mashariki: Saba washinda, Mnyaa safi, Wagombea wa CHADEMA waangukia pua

    Ndugai, umetuambia matokeo baada ya dakika 20 !!!! tangu saa tatu muda huu saa sita na robo, kulikoni???
  9. YAGHAMBA

    Rais Magufuli awaambia Waandishi wa Habari wawe makini, hawako huru kihivyo...

    Hata mimi linanitatiza au ni kisukuma
Back
Top Bottom