Wanajanvi, kwa wale madaktari na wazazi naomba mnisaidie mtoto wangu anaumwa kama ifuatavyo:-
Mtoto ana miaka mitano, alitahiliwa akiwa na miezi sita, leo asubuhi nimestukia sehemu aliko tahiliwa, kadudu kake kame vimba sana, hachangamki sana, ila anakojoa vizuri.
Ile sehemu ambako walikata...