Recent content by Ya Kwetu

  1. Y

    SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Good job! Kazi inavutia kusoma.
  2. Y

    Lissu Hana Familia Nchini na Watoto Wake Wana Uraia wa Marekani.Ndio Sababu Hana Uchungu na Tanzania hata kukitokea Machafuko na kuchinjana.

    Mkuu wewe ambaye familia yako iko hapa Tanzania umefanya nini kuhakikisha wanapata mahitaji yao muhimu!? Aidha, nini unaweza kujivunia kuwa umekifanya kwa nchi yako tangu uanze kuishi hapa Tanzania?
  3. Y

    Viongozi Wa Dini Wanapaswa Kuishukuru Na kuiombea CCM kwa kudumisha Amani na Utulivu na wao kupata nafasi ya kuhubiri neno la Mungu kwa uhuru

    Kitu gani CCM imefanya kuhusu amani ya nchi hii ambocho maaskofu wanapaswa kujivunia zaidi na kuacha kutoa maoni yao kama watanzania wengine?
  4. Y

    Viongozi Wa Dini Wanapaswa Kuishukuru Na kuiombea CCM kwa kudumisha Amani na Utulivu na wao kupata nafasi ya kuhubiri neno la Mungu kwa uhuru

    Leo nimekubali kuungana na walio wengi, wanaodai na kukuona kuwa wewe ni Chawa na hauna akili. Kwa hoja hii, hakika atakuwa mwnaCCM hukustahili.
  5. Y

    Viongozi Wa Dini Wanapaswa Kuishukuru Na kuiombea CCM kwa kudumisha Amani na Utulivu na wao kupata nafasi ya kuhubiri neno la Mungu kwa uhuru

    Leo nimekubali kuungana na walio wengi, wanaodai na kukuona kuwa wewe ni Chawa na hauna akili. Kwa hoja hii, hakika atakuwa manaCCM hukustahili.
  6. Y

    Riwaya: SIN

    Kama ikoyote weka vipande vya kutosha basi, speed ndogo sana.
  7. Y

    Uchomaji wa Vitenge Uliofanywa na BAWACHA Umeingiza Laana ndani ya CHADEMA ambayo itakiangamiza na kukiteketeza kisipoomba radhi na kutubu hadharani

    Mtu kuchoma nguo yake aliyonunua yeye au kupewa wakati ni kosa? Hawa kuona sababu ya kuendelea kukaa nazo, pia, kutoa msaada kwa kitu unachoona hakina maana kwako siyo tu ni vibaya Bali haitakiwi kabisa.
  8. Y

    Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

    Hakuna video ili ku-support maelezo yako?
Back
Top Bottom