Je, huwa unafanya ubashiri?
Ubashiri ni mfumo wa utabiri wa tukio fulani kuchukua nafasi katika wakati ujao. Historia ya kufanya ubashiri ni ndefu zaidi kuliko inavyofikiriwa na wengi. Ubashiri umefanywa kwa muda mrefu katika historia ya zamani kwa kutumia njia nyingi tofauti.
Katika dini...
Ifike muda tukubali kuwa Simba SC ni timu kongwe na bora ila wale wengine ni timu kongwe.
Sasa cha kushangaza leo kwenye pita pita zangu nimeona kuna kampuni ya kubet imeipa odds 20 kama Simba SC watashinda mechi ya leo!
Naombeni mnisaidie kuitaja nimesahau jina!
1. Kuongeza Ujuzi wa Kisaikolojia: Michezo vya kielektroniki, mfano Spin&Win huchangia kuimarisha ujuzi wa kisaikolojia kama vile kutatua matatizo, kufikiri kwa uangalifu, na kufanya maamuzi. Wachezaji mara nyingi wanakutana na hali ngumu ambazo zinahitaji mpangilio wa kimkakati, hivyo...
Hivi jamani kwa mfano mimi nikataka kuweka ubashiri wangu leo kwenye mechi ya Burnley na Manchester City na ile fainali ya simba na yanga utanishauri nimpe nani na niweke ubashiri kwa kutumia kampuni gani yenye odds kubwa na machaguo mazuri ya ubashiri.
Hapa kuna orodha ya njia tano za burudani nchini Tanzania.
1. Kusafiri: Tembelea maeneo ya kuvutia kama vile Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Visiwa vya Zanzibar, na Mbuga ya Wanyama ya Ngorongoro.
2. Kucheza michezo ya maji: Furahia shughuli za maji kama vile kuogelea...
ℹ️ Fabrice Ngoma si mchezaji tena wa Al Hilal SC, imethibitishwa. Kesi kutoka kwa kilabu haitakuwa suala kwani FIFA tayari imetoa idhini lakini bado Hilal hatakata tamaa.
ℹ️ Yanga SC walikuwa wa kwanza kufanya mawasiliano na wakatoa fursa ya kumsajili Ngoma wiki kadhaa zilizopita kama...
Kikosi cha simba kinazidi kupepea na kuitangaza Tanzania vizuri kimatafita ukiachana na kuwa vijana wengi pesa kwenye game yao dhidi ya horoya maana najua wengi waliweka Simba “Win”.
Sasa Wachezaji wanne kwenye kikosi cha wiki na wawili kugombania mchezaji bora wa wiki baada ya mechi 5 ni...
Sasa arseno tushajua anachukua kaka ila kuna ligi nyingi ndani EPL ndio ipo kwa man u tottenham Newcastle na Liverpool kuangalia nani atamaliza kwenye top four
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.