Recent content by xtra-Pen

  1. X

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Meja Jenerali Yakubu Mohamed kuwa Mnadhimu Mkuu JWTZ. Awapandisha cheo Brigedia Jenerali 10

    Those rotten eggs I think they are better than such a brain you are carrying on your top, you better throw that one on the afore-mentioned dustbin
  2. X

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Meja Jenerali Yakubu Mohamed kuwa Mnadhimu Mkuu JWTZ. Awapandisha cheo Brigedia Jenerali 10

    mwenzako ameandika topic tofauti kabisa unaibuka na ukabila, km kwl we ndio mchaga unawaaibisha. kuna wakati nilisikia kilimanjaro inaongoza kwa kwashiakor ndio kina ww kumbe?
  3. X

    Pendekezo kwa Wizara ya Elimu: Walimu wafanyishwe mitihani wachujwe na shule za kata zipunguzwe

    ingawa hakuna mtu moja anayeweza kutoa jibu la moja kwa moja ukisoma positive ideas na kuzichuja jibu laweza kupatikana tusisahau kupuuza matusi na povus. Competence ya walimu ni muhimu, mazingira ya shule za serikali, ingewezekana mishahara ya walimu ndiyo iwe inaongoza kwa ukubwa siyo...
  4. X

    Uamuzi wa wanasheria wote wa serikali(legal officers) kuwa STATE ATTORNEYS chini ya AG ni uamuzi mzuri sana

    we unamjua kila mtu na unajua kila kt unashinda JF kwann usimchukie JPM, mvivu mkubwa. We ht nyumba ya tembe hauna. Kalaghabaho!!!
  5. X

    Uamuzi wa wanasheria wote wa serikali(legal officers) kuwa STATE ATTORNEYS chini ya AG ni uamuzi mzuri sana

    Halafu unajiita babati, kwanza unaaibisha hilo eneo na watu wake. Mto mada amesema vizuri sana, acheni ulafi na tena unaoharibu taifa letu. amua kimoja kuajiriwa au kujiari mnamwibia mwajiri wenu (serikali) na hamwuwatendeeni haki watanzania mmekuwa sehemu ya mafisadi. Km Mwl wa university...
  6. X

    Website za Serikali hazina taarifa za sasa huku tunakimbilia kwenye Tehama

    very true ukitaka kujaribu fungua ya TCU mpk unaondoka haijafunguka bado wajiita watu wa Quality assurance
  7. X

    Kilimanjaro yashika namba 1 kitaifa matokeo ya kidato cha nne 2018

    umeachwa wewe. na wale wanaoteseka kule vijijini kwao siyo wachaga? kinachowafanya kule Rombo washindwe ht kuwatia mimba wanawake zao siyo dhiki? nini kinawafanya mkimbie kwenu?
  8. X

    Kilimanjaro yashika namba 1 kitaifa matokeo ya kidato cha nne 2018

    Wivu ktk kt gani? km hujui ukweli kuwa mkoa wa Kilimanjaro ndio wenye shule nying za kitaifa na za taasisi ya dini nikusaidieje, kwa mttanzania mwenye uelewa wa kawaida anayajua hayo. ugonjwa unaowasumbua wachaga ni kupenda sifa tena za kijinga, mara matajiri, mara wana IQ kubwa, mara wamesoma...
  9. X

    Kilimanjaro yashika namba 1 kitaifa matokeo ya kidato cha nne 2018

    we uliishia la ngapi, hv km mchaga mwenye akili ndio km ww uliowaacha kule vilabuni wanafananaje? kwa taarifa mkoa wa Kilimanjaro tangia zamani ndio wenye shule nyingi za kitaifa kuna mikoa haina ht shule moja ya kitaifa. so wale wale watz siyo wachaga usibanwe sn nyie uwezo wenu ni wa kawaida tu
  10. X

    Kilimanjaro yashika namba 1 kitaifa matokeo ya kidato cha nne 2018

    mikoa mingine ilishawahi kushika nafasi za kwanza kwa kubadilishana. kwanini kwa Kilimanjaro inakuwa issue kubwa? ni ulimbukeni na roho mchafu wa kibaguzi. shule nyingi ndani ya mkoa huo ni ama za taasisi za dini au za kitaifa, si za kata, nenda kazicheki vizuri na zimejaa watanzania siyo...
  11. X

    Kilimanjaro yashika namba 1 kitaifa matokeo ya kidato cha nne 2018

    Punguzeni ushamba, watu waliosoma na wenye akili hawawezi kuwa na analysis ya kitapiamlo km hii. wanaosoma shule zilizo ndani ya huo mkoa siyo wote ni wenyeji wa huko, ni watanzania kutoka mikoa mbalimbali, ukweli ni kwamba mmelost mnajaribu kiki za kijinga bila kujua mnazidi kujidhalilisha
  12. X

    Manager wa TanRoads mkoa wa Arusha amejisahau

    Huyu Manager wa Tanroads mkoa wa Arusha sijui anafikiri mkoa wake wote una barabara za lami? Barabara ya kutoka Karatu mkoani Arusha kuelekea Mbulu mkoa wa Manyara ni mbaya sana ni mashimo matupu na rasta kilichobaki ni wajawazito kujifungua njiani kabla ya muda wao kufika. Huyu jamaa aitwaye...
Back
Top Bottom