Hii Dunia ina mengi kweli watu ni visa na mikasa na vile vile watu ni story na dunia imejaa machaguzi umeamua kuwa mbinafsi tu. Kuna wakati huyo little one naye atahitaji nduguye naye atakuwa aishi maisha ya upweke na kutoa simulizi zisizo za kweli.
Kwenye kuwakuza hawa little children chukua...
Hizo mambo za sms za kutuma kwenda namba fulani zimebaki kwa Mitandao ya Airtel na Halotel kwa sasa system zao bado hawajaziweka vizuri. Kuwa tu makini.
Yote kwa yote kila la kheri kwako. Pia usisahu kufanya ibada na kushukuru kwa kila hatua wapo wengi wenye sifa hizo ila kukutana nao vile kuna kaugumu fulani hivi. Ila naami utampata.
Hongera sana kwa waraka, ila ukweli usiopingika hizo kada zimejaa uoga mwingi sana na vyama vyao havipo kwa ajili ya kutetea maslahi vipo kama vile money monger
🤔🤔🤔🤔🤔 This is very fan. Hujawahi kutokea hata ukiiweka fixed account huwezi pata hiyo profit. Anza kidogo kidogo na pesa yako hiyo. Vitu vikubwa huanza kwa udogo na kubadilika kwa ukubwa. Ni hayo tu kwa leo JF.
Kama siyo mtu wa kuvimba na starehe za hapa na pale kwa mahitaji ya hiyo familia inaweza kufix baadhi ya mambo ila kuwa tajiri utahija nidhamu kubwa. Kwa wale wa kuvimba na starehe na totoz hapo bado sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.