unaweza kuwa umepatwa na ugonjwa wa kukosa kumbukumbu,nilini walimu wa shule za msingi na sekondari wakawa na tatizo la elimu?,UNAPOPATA AJIRA unategemea kuhakikishwa maisha yako ya kila siku haiwezekani ukawa mtu wa akukopa na kucheleweshewa hela za likizo na hela za kupanda madaraja.Kuna...
wazanzibar wanatawaliwa na bara,na nibahati mbaya wanakaliwa kijeshi tu,wanachotakiwa kufanya nikuamua je waendelee na tabia ya kupewa madaraka ya kulindwa kama jinsihistoria ya Bwana Bargash alipopewa cheo na kulindwa ili asipinduiwe,wanaweza kuamua kufa na bara au kupambana kutoka mikono ya...
hoja za kutunga zitawatokea puani,Makonda anasema wabunge wa upinzani wanapiga kelele tu yeye anajenga ofisi za walimu atuoneshe jengo gani na kwa fedha gani anazotumia kuyajenga kama sikulazimisha watu x kuchangia?
tunaelekea kuingia kwenye zama za giza ambapo hakuna maendeleo bali watwala wakila mezani na watoto wao wakistarehe Enzi ya mfalme wa ufaransa imekaribia kuenea Dunia yote ili turudi kwenye mapindunzi ya viwanda (RENAISSANCE PERIOD)
ccm inahfu gani?,kama chama kinauhakika tangu 1961 kinajua kuwa kimewapatia wananchi wake maendeleo kwa nini kinapepesuka?HADI kuteka wagombea wa chadema
wnataka mtu anayefika bei,tangu kuanzishwa chadema .cuf,NCCR mageuzi ccm imekuwa na mikakati ya kuvifanya vyama vya upinzani viwe dhaifu ili iweze kuendelea kutawaa,sasa ilifanikiwa kwa TLP,NCCR,na vyama vya cuf vinatafutiwa nguvu ya kuviua LAKINI cCHADEMA NA CUFndio hofu yao ilipo kubwa!
ccm wajibu hoja kwa nini wanakiuka sheria kisa uzalendo?watuambie wako wapi kina SAANANE NA AZORI? Hayo mengine nivitisho tu Kakobe na kina Shayo wafutieni madhehebu tuone kama mtakuwa shimoni ama la!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.