Pengo ana kadi ya CCM? Si mbaya. Je, anayofanya na kusema ni kwa manufaa ya nani? Anawafarakanisha Wakatoliki

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Tangu polycarp pengo awakane wenzie kipindi kile cha katiba mpya mpaka kuja kufarakana na gwajima wengi tulianza kuhisi kuwa ana tatizo kubwa. Ingawa wakatoliki wengi kipindi hicho walimjia juu gwajima sabab tu ya dhehebu lao na lake lakini ile ilionesha pengo anatumika na chama kwa maslah yake binafsi au watu flan.

Hili la kuja kuwapinga wenzake wanapotoa maoni wakati huo huo yeye akitoa maoni ambayo anataka wengine wayaone kama ndio msimamo wa kanisa ni jambo baya la kufarakanisha wakatoliki na madhehebu na dini nyingine.

Ni aibu kusema watumishi wa Mungu wasizungumzie siasa ikiwa wakati huo huo huwa tunawaomba watuombee na makanisani na misikitin tunataka waombee amani.sasa hawa hawa wanapotaka to preserve amani wanaonekana wanaingilia siasa.

Lakini tunasahau kuwa Yesu alikemea wanasiasa kwa unafiki wao. Tunasahau daudi,saul ,eliya n.k walijihusisha na siasa. Tunasahau Yohana alimkemea mwanasiasa mpaka akafungwa na baadaye kukatwa kichwa.

Ni mtu mpumbavu na lofa asiyejua kuwa hawa watumishi wa Mungu wao hawana mipaka.anayesema mchungaj au shekhe asizungumzie siasa huyo anafaa kuzomewa sana na kumwagiwa maji machafu ya mtaroni.

Muhamadi alijihusisha na siasa kwa kiasi kikubwa sana. Na ndo maana kuna aya lukuki ambazo zimezungumzia siasa akikemea na kuasa. Akili ndogo tu inaweza mtuma mtu kuelewa utawala wa kisiasa un athiri hata imani za watu.

Mimi sishauri mtumishi yeyote awe chama cha siasa. Nashauri watumishi wawe neutral ili wakemee pande zote. Wasije wakawekwa mifukoni na wanasiasa kama ambavyo tunaona ilivyo sasa. Tunajua pengo ana urafiki mkubwa sana na rais.sana.kiasi kwamba anatumia urafiki huo vibaya na kusahau maslah mapana ya watanzania.
 
Manabii wa zamani walikemea uovu na kutetea haki bila kujali maslahi yao, wengine walipoteza maisha na wengine kuingia matatani na watawala. Lakini hawakunyamaza pale mambo yalipoenda kinyume.

Viongozi wengi wa kiimani wa sasa hivi ni wanafiki wanatoa maoni kukidhi maslahi yao binafsi, ole wao.
 
Wakatoliki ni watu wa ajabu sana..wao kila kitu wapo tofauti na wakristo wenzao..yaani hili dhehebu sijui linafuata biblia ya aina gani?? Mtu na akili zako ukae unaabudu kwa Pengo??
 
Tangu polycarp pengo awakane wenzie kipindi kile cha katiba mpya mpaka kuja kufarakana na gwajima wengi tulianza kuhisi kuwa ana tatizo kubwa. Ingawa wakatoliki wengi kipindi hicho walimjia juu gwajima sabab tu ya dhehebu lao na lake lakini ile ilionesha pengo anatumika na chama kwa maslah yake binafsi au watu flan.

Hili la kuja kuwapinga wenzake wanapotoa maoni wakati huo huo yeye akitoa maoni ambayo anataka wengine wayaone kama ndio msimamo wa kanisa ni jambo baya la kufarakanisha wakatoliki na madhehebu na dini nyingine.

Ni aibu kusema watumishi wa Mungu wasizungumzie siasa ikiwa wakati huo huo huwa tunawaomba watuombee na makanisani na misikitin tunataka waombee amani.sasa hawa hawa wanapotaka to preserve amani wanaonekana wanaingilia siasa.

Lakini tunasahau kuwa Yesu alikemea wanasiasa kwa unafiki wao. Tunasahau daudi,saul ,eliya n.k walijihusisha na siasa. Tunasahau Yohana alimkemea mwanasiasa mpaka akafungwa na baadaye kukatwa kichwa.

Ni mtu mpumbavu na lofa asiyejua kuwa hawa watumishi wa Mungu wao hawana mipaka.anayesema mchungaj au shekhe asizungumzie siasa huyo anafaa kuzomewa sana na kumwagiwa maji machafu ya mtaroni.

Muhamadi alijihusisha na siasa kwa kiasi kikubwa sana. Na ndo maana kuna aya lukuki ambazo zimezungumzia siasa akikemea na kuasa. Akili ndogo tu inaweza mtuma mtu kuelewa utawala wa kisiasa un athiri hata imani za watu.

Mimi sishauri mtumishi yeyote awe chama cha siasa. Nashauri watumishi wawe neutral ili wakemee pande zote. Wasije wakawekwa mifukoni na wanasiasa kama ambavyo tunaona ilivyo sasa. Tunajua pengo ana urafiki mkubwa sana na rais.sana.kiasi kwamba anatumia urafiki huo vibaya na kusahau maslah mapana ya watanzania.
tafuteni sera mkikombowe chama, kudisikasi watu sio sera, usiwe kama lema, chama kinakufa kutwa nzima mnajadili watu, mabwege kweli
 
Wakatoliki ni watu wa ajabu sana..wao kila kitu wapo tofauti na wakristo wenzao..yaani hili dhehebu sijui linafuata biblia ya aina gani?? Mtu na akili zako ukae unaabudu kwa Pengo??
kwani nyie walokole mnapo lia kanisani, mpo sawa na kina nani??? injili ya kulia na kupenga kamasi makanisani ilianzishwa na nani????
 
Hili la kuja kuwapinga wenzake wanapotoa maoni wakati huo huo yeye akitoa maoni ambayo anataka wengine wayaone kama ndio msimamo wa kanisa ni jambo baya la kufarakanisha wakatoliki na madhehebu na dini nyingine.

Lini Baba Kadinali alitaka maoni yake yeye ndo yachukuliwe kuwa msimamo wa Kanisa zima?
 
Si kweli, nchi hii ina wachungaji wengi na wanafiki hawawezi kuwa wawili tu japo sina uhakika kama hao ulowataja ni wanafiki. Hebu changia kama GT
gwajima, alikaliliwa akisema lowasa ni amechaguliwa na Mungu, tukashaangaa maono hayatimiliki, na sasa anamkubali mwingine, Huyu huyu mzee alisema anakuja na ndege na amekamilisha malipo na aliomba mamlaka husika isajili hiyo ndege sijui ilisha kuja au laa, mwisho kwa mtu wa Mungu tena kiongozi kumtolea matusi na kashfa mtu mwingine kisa kakuhuudhi na ukadiliki kumuombea mambaya, mmmmm ni unafiki mathayo 7:21------

Kakobe ni mnafiki: madhabahu ni personal property for personal gain (Mathayo 7: 3) sasa kama kanisani kwake tu madhabau hataki mtu mwingine atumie vipi angekuwa Rais??? nasemea urohooo na ubinafsi. jingine Kakobe yule mtoto wake wa ajabu ajabu anae tembea nae ni wa nini????, je yule nyoka madhabauni kwake kanisani atamtoa lini??/ Atubu yeye kwanza
 
gwajima, alikaliliwa akisema lowasa ni amechaguliwa na Mungu, tukashaangaa maono hayatimiliki, na sasa anamkubali mwingine, Huyu huyu mzee alisema anakuja na ndege na amekamilisha malipo na aliomba mamlaka husika isajili hiyo ndege sijui ilisha kuja au laa, mwisho kwa mtu wa Mungu tena kiongozi kumtolea matusi na kashfa mtu mwingine kisa kakuhuudhi na ukadiliki kumuombea mambaya, mmmmm ni unafiki mathayo 7:21------

Kakobe ni mnafiki: madhabahu ni personal property for personal gain (Mathayo 7: 3) sasa kama kanisani kwake tu madhabau hataki mtu mwingine atumie vipi angekuwa Rais??? nasemea urohooo na ubinafsi. jingine Kakobe yule mtoto wake wa ajabu ajabu anae tembea nae ni wa nini????, je yule nyoka madhabauni kwake kanisani atamtoa lini??/ Atubu yeye kwanza
Kumbe kakobe ana nyoka madhabahuni!! Sasa nimejua kwa nini mnamwogopa coz matamko ya kumpinga yamekuwa kila siku kama msingekuwa waoga mngekaa kimya. Kumbe mmeaminishana kakobe ana nyoka! Na kama anayo mnaomshambulia atadeal nanyi
 
Back
Top Bottom