ni kweli ila nchi za ulaya nyingi kuna visheria vya ajabu ajabu mfano Norway huwezi tumia pesa nyingi upendavyo unawekewa limit ya expenditure kwa siku
basi ngoja niseme ni pepo ya dunia wewe unazani kwanini marekani anapenda kuwapa bani watu kuingia kule maana anaijua ni kuzuri kupita nchi zingine zote
Binafsi nilikwenda USA mwaka 2013 wakati nimemaliza A level kwa mwaliko wa rafiki yangu mmishenari daktari.
Nilikutana nae vipi huyu daktari? Stori inaanzia hapa..
Ilikuwa likizo shuleni na mimi sikutaka kurudi home nilikomaa shule ili nijisomee vizuri.
Sasa nikawa asubuhi naamka napiga...
ukiona fundi anakwambia hapo ni setting tu na haisett yeye jua magumashi hayo
mimi demu wangu sijui kapiga windows wapi pc haishiki wi fi wala usb haisomi nikamwambia mpigie uyo alie kuwekea window mchizi anajibu hapo ni drivers tu hamna zidownload tu kasema manina zako kwanini usinge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.