Una uelewa mdogo xana ndugu angu ebu soma statemt ya mtu vzur halafu ndo uargue uskurupuke xawa???
Skusema salama ebu skiliza vzur mikutano yake ya kanda ya ziwa except alyoikfanya kagera na mara ya mwanza yote karbu zaid ya robo ya mda wake anazungumza kisukima!!!
Sio salamu
Nafkri kwenye maswala ukanda na ukabila ndo inabd tuanze kuyazungumza hapa hv inakuwaje mgombea urais anaenda mahali akiwa anawahutubia watz wote amabao wamekusanyka mahali pamoja anatumia zaidi ya robo ya mda wake kwa kuongea kisukuma?? Na ukiangalia tz xaa kla mahal kuna mchanganyiko wa lugha zote
Ukiwa unasema habar ya kubeba watu ue unaaangalia kaka!!!
Maake hayo maeno ya kisiasa yaskupe shda xanaa
Hakuna kuvunja ngome mahali popote arusha mlsema hayo hayo baadae mkabadlka tena klmanjaro mlsema hayo hayo baadae mkabdlka tena!!!
Unajua inakubd ujfunze kuelewa vtu ndugu angu tatzo la kiafya sio lazma lpelekee matatzo ya ubongo au wew unaposema zezeta unamaansha nn???
Hv kwa akri yako unaamin lowasa awez akawa na capacity yackuongoza nchi hii ikuru sio sehemu ya kufua vyuma ikakufuanya uamin kupga push up ndo point ya...
Unafkri akri ama uwezo wa kufkri unajlngansha na lowasa?? Hv hujawahi fkria kwann alkuwa wazr wa sekta mblmbal nacwzr mkuu pia toka uko nyuma, kwann akiwa na miaka chin ya arobain alkuwa katbu mkuu msaidiz wa ccm na kpnd hcho nyere alkuwepio na akamkubali au wew na yeye nan zezeta??
Au wew...
Usiseme hatumtaki mbona unaongelea nafsi za wenzio sema wew ndi haumtaki!!! Jfunze kutowasemea wenzio wew kama unafaidka na knachoendelea kwenye nchii ni wew!!! Usiwasemee wenzio
Kwan serkal kuu ikabdlka wanabadlka watumishi wote wa srkal??? Weled utabaki palepale tunachotaka ni dimension mpyacya taifa watumishi wenye weled na wazalendo wako tayari kutumikia serkal yoyote usiwe na mawazo ya ktoto unajua wanaonufaika na mfumo huu wako tayari kuutetea mpaka watakufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.