Recent content by Wustenfuchs

  1. Wustenfuchs

    Anayefahamu jina la huu wimbo naomba anijuze

    Zipo audio zake mbili ninazo. Hizi miaka ya 90s na wanzoni mwa miaka ya 2000 tulikuwa tunatumia kucheza show kwenye maharusi.
  2. Wustenfuchs

    Mshahara wa tour guiders huwa kiasi gani atleast?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hizi stori za jaba kabisa, vile vijiwe vya watu wanatafuna mirungi [emoji23] [emoji23]. Kwamba eti anaweza kuongea Kifaransa, ati mzungu akaghairi ndege akaenda kumnunulia Cruiser! [emoji23] [emoji23] Hivi wazungu mnawachukuliaje? Hey wake up black African.
  3. Wustenfuchs

    Namna ya kuweza kuishi DAR; Ishi kibepari

    Hii naihifadhi kwenye notebook yangu. Nitaifanya kama town bible. Nitakuwa narejea daily.
  4. Wustenfuchs

    What are your life lessons so far?

    What are your life lessons? Can you drop some wisdom? What are..... The commom topics I encounter everyday om Quora.
  5. Wustenfuchs

    Jarida la burudani la Sani limepoteleaga wapi

    Duuh! Mapungo "The Goden Boy" yule mwamba akiwa Mabush Stars.
  6. Wustenfuchs

    Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. Wustenfuchs

    Sidney Sheldon Novels: Wale waliomsoma huyu Mwamba

    Soma The Sands of time, utakuja nishurukuru baadae na ndipo utamwelewa vizuri huyu nguli.
  8. Wustenfuchs

    Fahamu majina ya magari ya Toyota na maana zake

    Toyota Camry- toyota kanmuri( Kijapani) , likimaanisha "Crown [emoji146]" kwa kiingereza( little crown). Toyota Corona- Crown kwa kilatini. Corollla- little Crown Suzuki Kei- Keijidosha= light automobile. Kwa magari yote madogo madogo yanayotumia mafuta kidogo yalitengenezwa kwa ajili ya...
  9. Wustenfuchs

    Je wajua, ni 7% ya nyoka ndio wana sumu inayoweza kuua binadamu?

    Siku akikugonga ukafa ndio utajua %100 ya nyoka wana sumu inayomuua binadamu.
  10. Wustenfuchs

    Umasikini hurithiwa; masikini huzaa masikini

    Nimesisimka balaa, maana tayari nishatia mimba binti wa kimasikini mtaani wakati na mimi ni masikini niliyepata vijisenti kidogo.
  11. Wustenfuchs

    BMW series 1

    Uzuri kuna manuals zake zote, owner's, service manual, repair and maintanance manual, yaani ni full documentation na mambo yanasonga. 2 yrs nimekuwa nikifanya hii.
  12. Wustenfuchs

    BMW series 1

    [emoji122] [emoji122]
  13. Wustenfuchs

    Msaada: Naomba kujuzwa jinsi ya kupata uraia kwa msichana anayetoka nje ya nchi ili kuolewa na kuishi Tanzania

    Huyu atakuwa akichat na vijana wa Nigeria. Okay, kuwa makini hasa ukiletewa ishu za kutuma pesa kwa Western Union au Money Gram, hapo ujue ni "Red Flag", kaa mbali. Kuna wengine wana similar cases za madem wa Kifilipino.
  14. Wustenfuchs

    Matangazo (advertisement) makali ya kwenye TV

    Pia wakati wa kombe la Dunia "France 98" kulikuwa na matangazo makali sana wakati ule, yakiwemo lile la Air Tanzania the Wing of Kilimanjaro, Kazi kazi la Tusker lager na lile la TTCL wakiachana na mfumo wa zamani wa kutumbukiza shilingi ili kupiga simu kwenye Phone Booth na kutumia kadi, Total...
Back
Top Bottom