Mimi asilimia 80% ya wanawake zangu niliodate nao mpaka mke wangu niliyemuoa alikua bikra alafu mzigo ni yule asiyekuwa na bikra maana ndio anageuzwa geuzwa na wanaume hovyo kama samaki wa sokoni.
Nilivyomkuta wife bikra siku ya ndoa nilimzawadia dhahabu.
Nimeipitisha moja "zimbabwe" kwa ajili ya tukio lile lililomkuta roma japo zote mbili zina impact sawa katika jamii na ni classic songs lakini pia roma ameendelea na harakati zake mpaka leo hii inaonyesha alimaanisha alichokiimba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.