Recent content by workoholic

  1. W

    Ajira za watanzania kuchukuliwa na wageni, serikali ipo?

    Nakubaliana nawe kuhusu hawa wahindi na pia wageni wengine kupewa kazi ambazo watanzania wangeziweza kabisa. Makampuni kama metl group, azam group, azania, mecb, lake group nimetaja makampuni chache tu!! Kwa mahesabu ya upesi nadhani kutakuwa na wageni zaidi ya laki tano hapa nchini mwetu na...
  2. W

    Wageni wanavyopata ajira za Watanzania

    Kama tunataka tupunguze kuwapo kwa wageni nchini, wengi wao amabo wanafanya kazi ambazo watanzania wanaweza kuzifanya basi itabidi wabunge wetu waihimize serekali kupandisha mara 4 au hata 5 ada ya permit za wageni yaani "work permits fee"!! Tunakubali wote kwamba rushwa imekithiri nchini mwetu...
  3. W

    Wageni wanavyopata ajira za Watanzania

    If we want to get rid of expatriates in this country, most of whom are doing work which any Tanzanian would have done, i would appeal to the Government to increase the permit fees by 3-4 times the current rate so that all these "racist and selfish" bosses who think Tanzanians as LAZY, CHEATS AND...
  4. W

    Utendaji mbovu wa security JNIA

    Pole kaka!! lakini hii ni kawaida hapo JNIA, ma askari wote wana njaa kali sana. Nomba hatua kali zichukuliwe kwa wahusika kwa kutumia ushahidi wa cctv au watazoea. JNIA ni sehemu ya kuingilia na kutokea wageni hivyo kama first impression yao itakuwa mbaya then tutapoteza tourists kibao...
  5. W

    Swali: Nini Kero ya Kufanya kazi na Mhindi/Wahindi

    Mimi nauliza pia je hizi kazi ambazo wanapewa wahindi, wakenya, wapakistani, makaburu, waarabu kutoka yemen, syria, waphilipino, hatuziwezi sisi watanzania. Uchunguzi wangu emebaini kwamba kazi nyingi wanazo fanya wageni hawa sisi tunaziweza!! Niambie watanzania hatuwezi kuwa shop assistants...
  6. W

    Polisi wa TZ wanasingizia makosa kulazimisha rushwa

    Pole sana kwa matatizo na pia pole kwa vile hii issue imechukuliwa kama mzaha na wengine. Rushwa imeshika hatamu sasa katika idara zote nchini mwetu! Mpaka lini tutakubali!! na kusema ENOUGH IS ENOUGH AND STOP!!
Back
Top Bottom