mkuu kuna siri kubwa hapo zaidi ya ivyo vyakula visivyo kobolewa wale ndugu zangu ni watu wa mizizi sana na hata kwenye iyo nyama lazima wachemshie mizizi na kila baada ya muda flani huwa wana fanya detoxification kuondoa taka zisizo itajika mwilini. swali ; je wewe mara ya mwisho kufanya...
hakuna mwili mgumu kuupata ukiwa kwenye hali nzuri ya kiuchumi na afya nzuri kama wembamba utasota sana hasa kama siyo asili yako ila unene yani huwa ni chapu tu kwa haraka. yani ukirizika kidogo na kazi ya uhakika usipo kuwa makini unapata mwili wa kizembe saaaana
Zamani niliamini watu hokosea njia wakati wa kwenda tu kumbe hata wakati wa kurudi hakika umakini unaitajika katika kusoma na kuelewa mazingira kabla ya safari nyingine mana mh.
Achana naye na mpotezee na kama iko ndani ya uwezo wako chukua watoto wako ulee mwenyewe. ilo ni tatizo tena kubwa kama umepona bila kujengewa chuki ukilegea ndo litakalo kuua kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza kabla ya siku zako. KAKA KIMBIA HARAKA USIWE KAMA KENGE ASIYE SKIA. HUYO ALISHAPOTEZA...
ila urithi na elimu ni haki ya mtoto hata vitabu vya dini viaagiza ivyo ila ukikosa urithi wa ardhi si mbaya kumpambania kwenye elimu ila si kukosa vyote ni laana kwako wewe kama mzazi
wapewe zile ambazo umechuma na mama yao mengine ni uwamuzi binafsi mana yule wa awali ana haki mana alikuvumilia na kuwa faraja kwako kwa nyakati nyingi tofauti
ukiona ivyo basi jua thamani ya mwanamke ambaye hajazalishwa inakuja kupanda juu mbeleni na kuwa na heshima kubwa. pia mwanamke kuolewa na kuishi na bwana mmoja kuja kuwa na heshima kubwa kwenye jamii. shida adui ya mwanamke ni mwanamke ila hawajui wanabaki pambana na wanaume badala ya kupambana...
mh kwa hali ilivyo sidhani kama wataruhusu hii kitu kuhofia nyakati kama zile zikijirudia italeta hatari kwao kuweza idhibiti kama walivyo dhibiti boda boda kuweza pata hudumuma na watu wa mafuta ya videbe. ila kibiashara ni wazo zuri mana itakuwa msaada kwa wale wenzangu tuliozoea videbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.