ila urithi na elimu ni haki ya mtoto hata vitabu vya dini viaagiza ivyo ila ukikosa urithi wa ardhi si mbaya kumpambania kwenye elimu ila si kukosa vyote ni laana kwako wewe kama mzazi
wapewe zile ambazo umechuma na mama yao mengine ni uwamuzi binafsi mana yule wa awali ana haki mana alikuvumilia na kuwa faraja kwako kwa nyakati nyingi tofauti
ukiona ivyo basi jua thamani ya mwanamke ambaye hajazalishwa inakuja kupanda juu mbeleni na kuwa na heshima kubwa. pia mwanamke kuolewa na kuishi na bwana mmoja kuja kuwa na heshima kubwa kwenye jamii. shida adui ya mwanamke ni mwanamke ila hawajui wanabaki pambana na wanaume badala ya kupambana...
mh kwa hali ilivyo sidhani kama wataruhusu hii kitu kuhofia nyakati kama zile zikijirudia italeta hatari kwao kuweza idhibiti kama walivyo dhibiti boda boda kuweza pata hudumuma na watu wa mafuta ya videbe. ila kibiashara ni wazo zuri mana itakuwa msaada kwa wale wenzangu tuliozoea videbe...
malaya wana imprint nyingi ivyo kuwawia vigumu kupata nguvu chanya na matajiri wengi wenye nishati safi hawafanyi ngono ovyo na malaya zaidi humuweka kinyumba mchepuko aliyetulia kuepuka kuchafuka kiroho. jaribu kutafiti tena huwa makini sana kwenye uchaguzi wao.
Meza hupinduliwa lakini si kila meza inapunduka na kila lenye mwanzo huwa na mwisho wake ni swala la muda tu ukitimia ndiyo utaamua yote. tuendelee kuwa watazamaji kwenye hii dunia na tuombeane uzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.