Recent content by woodpecker24

  1. W

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Hakika duniani unaweza hisi unamitihani ila kuna walio kuzidi ila nilicho jifunza ndugu ni wa kuwa nao makini na kukaa nao mbali sana sana huwa siyo watu wazuri.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Marufuku ya Pombe zisizo na Ubora Rwanda: TBS imelala wakati Watanzania wanaweza kuwa wanapata Upofu na Kufa kimya kimya?

    Ndugu bangi haina madhara pia ni tiba ya baadhi ya changamoto ila ukizidisha ndo hukuletea maruwe ruwe inetegemea na familia na mifano tunayo mitaani kulinganisha na hili la afya ambayo changamoto zake ni mzigo kwa kila kona si serikali, familia au mtu mooja mmoja
  3. W

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Marufuku ya Pombe zisizo na Ubora Rwanda: TBS imelala wakati Watanzania wanaweza kuwa wanapata Upofu na Kufa kimya kimya?

    ivi kwenye hili swala nani hasa wakulaumiwa? mana nijuavyo tbs ni msimamizi kwenye mambo ya ubora natamani kuelimishwa na kulielewa hili zaidi mana tunaweza laumu tbs kumbe kuna mamlaka pia ilipaswa kulipigania hili mana mwisho wasiku sote tutakuwa wahanga kama si wewe basi mmoja wapo wa...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    naimani hata watangulizivwalio ruhusu izo ofisi wliliona hili mwanzo wakachukua hatu kupunguza usumbufu na kero za wakaazi wa dar ila naona tunataka kurudi kule kule tena dah😄
  5. W

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Huenda wakawa na mawazo mazuri ila waangalie athari zitakazo jitokeza mbeleni na kuleta matatizo nafkiri wangeboresha hayo maeneo na kuweka utaratibu mzuri ila si kuziondoa jumla mana athari ni kubwa kuliko maelezo mf: sinza au simu elfu mbili kwa miaka ya sasa biashara zimepungua baada ya...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    ivi population ya dar ni sawa na kilimanjaro? na je zilizopo zinaweza accommodate wakaazi wote ndani ya muda sahihi bila usumbufu?
  7. W

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    kipi bora hizi biashara kwenye ofisi binafsi kufungwa na ajira ya zilizopo apo kupotea au kuweka stand sehemu moja ambayo ni so limited ambayo itazalisha jobless wengi ambao kwa sasa wengi wamepata ajira au kujiajiri kwa sasa pembeni ya izo ofisi kwa baadhi ya biashara zilizo rasimishwa rasmi...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    aisee angekuwa anajua nidhamu ya muda asingesapoti hii kitu ni kumsamehe bure tu. mana hajawaza yale malri+ wakaazi wanaotoka katika shughuli jioni + wanaoenda kupokea watu jam yake itakuwaje kutikea mjini kuingia na kutoka mbezi. ni aheri wangeacha tu hivi hivi kiukweli imepunguza misongamano...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    naona msongamano wa foleni mbezi ukirudi kwa kwasi sana 😢
  10. W

    JamiiForums Tanzania Hotel na Lodge zinazoweka saa nne muda kuachia vyumba kwa wateja wote ni wizi wakubwa

    huwa wakinifwata nawauliza pale nimejaza tarehe ngapi na leo ni lini na siku ina masaa mangapi mwisho humpigia mmiliki na kuwa wapole tu. tofauti na hapo wanatafuta shari tu
  11. W

    JamiiForums Tanzania Wife hapendi niwe namchungulia utupu wake

    unafanya vyema maana siku izi magonjwa ni mengi mengine wanayo ila hawajijui na hajui kwamba unamsaidia kung'amua asiyo weza yaona mwenyewe. jaribu kuomwelewesha hope atakuelewa
  12. W

    JamiiForums Tanzania Tuhuma kwa single mothers ziende sambamba na uwajibikaji

    uzuri Condom ziliwekwa kwa jinsia zote pia mwanamke ndiyo mwenye maamuzi ya kubebeba minba au asibebe hakunaga mimba ya bahati mbaya kwa mwanamke elewa apo kwanza kama kweli unadhamira ya kuisaidia jamii. na mwanamke ndo huamua ambebee nani mimba siku zote tuache kutulaumu wanaume na kukwepa...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa kizazi hiki hawataki kuolewa mapema Pindi wanapochumbiwa?

    kama pesa ndo kigezo embu tuwaulizeni wenye hela ndoa zao zipo kwenye hali gani na kama hawagongewi kifupi niseme wanawake wakati mwingine hawajui wanataka nini ni nyakati na upepo ndo huamua juu ya hatma yao kiujumla. na sikio lake ndo humuamulia pindi akiitaji kuskia au shawishiwa na chenye...
  14. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa kizazi hiki hawataki kuolewa mapema Pindi wanapochumbiwa?

    Kuna dada mmoja kule tiktok kaongea kitu kimenishtua sana nikiunganisha na hii mada yako ndo nazidi pata wasiwasi na mienendo ya maadili ya wanaume yanavyozidi kupotea kiufupi wanaume tumebaki wachache sana. kigezo na sababu za kuchelewa ni kupima uanaume wako kama upo au lah😎
Back
Top Bottom