Recent content by woodpecker24

  1. W

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba hajafika kwa bahati ni mwili.

    mkuu kuna siri kubwa hapo zaidi ya ivyo vyakula visivyo kobolewa wale ndugu zangu ni watu wa mizizi sana na hata kwenye iyo nyama lazima wachemshie mizizi na kila baada ya muda flani huwa wana fanya detoxification kuondoa taka zisizo itajika mwilini. swali ; je wewe mara ya mwisho kufanya...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba hajafika kwa bahati ni mwili.

    hakuna mwili mgumu kuupata ukiwa kwenye hali nzuri ya kiuchumi na afya nzuri kama wembamba utasota sana hasa kama siyo asili yako ila unene yani huwa ni chapu tu kwa haraka. yani ukirizika kidogo na kazi ya uhakika usipo kuwa makini unapata mwili wa kizembe saaaana
  3. W

    JamiiForums Tanzania Hivi Samia anawajua Wakenya kweli?

    nimependa izo findings
  4. W

    JamiiForums Tanzania Soma hapa Ujumbe Mzito wa Rais Samia unaozunguka Duniani kote kwa kasi ya Mwanga

    utapopolewa leo mpaka uisome namba😅
  5. W

    JamiiForums Tanzania Mzee anasema baada ya wasilisho lao walioga SMS za matusi, kwa mwenye akili aitumie hii kama red lights

    Zamani niliamini watu hokosea njia wakati wa kwenda tu kumbe hata wakati wa kurudi hakika umakini unaitajika katika kusoma na kuelewa mazingira kabla ya safari nyingine mana mh.
  6. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye single mother kanipiga tukio. Wakuu msaada, sielewi nichukue maamuzi gani?

    Achana naye na mpotezee na kama iko ndani ya uwezo wako chukua watoto wako ulee mwenyewe. ilo ni tatizo tena kubwa kama umepona bila kujengewa chuki ukilegea ndo litakalo kuua kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza kabla ya siku zako. KAKA KIMBIA HARAKA USIWE KAMA KENGE ASIYE SKIA. HUYO ALISHAPOTEZA...
  7. W

    JamiiForums Tanzania Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Aisee😃
  8. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada mnavosema mnataka mwanaume wa kuwahudumia, kipato cha huyo mwanaume kiwe ni sh ngapi kwa mwezi?

    unatafuta stress za lazima huduma ni hiyari si lazima hasa kwa mwanamke ambaye siyo mke wako au umesahau mambo ni 50/50.
  9. W

    JamiiForums Tanzania Watoto wa ndani ya Ndoa wapewe urithi zaidi ya watoto wa nje ya ndoa

    ila urithi na elimu ni haki ya mtoto hata vitabu vya dini viaagiza ivyo ila ukikosa urithi wa ardhi si mbaya kumpambania kwenye elimu ila si kukosa vyote ni laana kwako wewe kama mzazi
  10. W

    JamiiForums Tanzania Watoto wa ndani ya Ndoa wapewe urithi zaidi ya watoto wa nje ya ndoa

    wapewe zile ambazo umechuma na mama yao mengine ni uwamuzi binafsi mana yule wa awali ana haki mana alikuvumilia na kuwa faraja kwako kwa nyakati nyingi tofauti
  11. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mzungu yupo mbele ya muda, maisha aliyoishi tutayakuta mbeleni, suala la watoto na wajukuu zetu kuoa single mothers halikwepeki

    ukiona ivyo basi jua thamani ya mwanamke ambaye hajazalishwa inakuja kupanda juu mbeleni na kuwa na heshima kubwa. pia mwanamke kuolewa na kuishi na bwana mmoja kuja kuwa na heshima kubwa kwenye jamii. shida adui ya mwanamke ni mwanamke ila hawajui wanabaki pambana na wanaume badala ya kupambana...
  12. W

    JamiiForums Tanzania Vijana chukua fursa: Portable Petrol Station Machine

    mh kwa hali ilivyo sidhani kama wataruhusu hii kitu kuhofia nyakati kama zile zikijirudia italeta hatari kwao kuweza idhibiti kama walivyo dhibiti boda boda kuweza pata hudumuma na watu wa mafuta ya videbe. ila kibiashara ni wazo zuri mana itakuwa msaada kwa wale wenzangu tuliozoea videbe...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Ni vema Mahakama na Chama cha Mawakili wamfungie Katuga na genge lake kutoa huduma za Uwakili kutokana na uhuni walioifanyia Mahakama

    Soon watafungua PANDORA ambayo jamaa alitumia busara kulikwepesha
Back
Top Bottom