Recent content by woodpecker24

  1. W

    Wadada mnavosema mnataka mwanaume wa kuwahudumia, kipato cha huyo mwanaume kiwe ni sh ngapi kwa mwezi?

    unatafuta stress za lazima huduma ni hiyari si lazima hasa kwa mwanamke ambaye siyo mke wako au umesahau mambo ni 50/50.
  2. W

    Watoto wa ndani ya Ndoa wapewe urithi zaidi ya watoto wa nje ya ndoa

    ila urithi na elimu ni haki ya mtoto hata vitabu vya dini viaagiza ivyo ila ukikosa urithi wa ardhi si mbaya kumpambania kwenye elimu ila si kukosa vyote ni laana kwako wewe kama mzazi
  3. W

    Watoto wa ndani ya Ndoa wapewe urithi zaidi ya watoto wa nje ya ndoa

    wapewe zile ambazo umechuma na mama yao mengine ni uwamuzi binafsi mana yule wa awali ana haki mana alikuvumilia na kuwa faraja kwako kwa nyakati nyingi tofauti
  4. W

    Mzungu yupo mbele ya muda, maisha aliyoishi tutayakuta mbeleni, suala la watoto na wajukuu zetu kuoa single mothers halikwepeki

    ukiona ivyo basi jua thamani ya mwanamke ambaye hajazalishwa inakuja kupanda juu mbeleni na kuwa na heshima kubwa. pia mwanamke kuolewa na kuishi na bwana mmoja kuja kuwa na heshima kubwa kwenye jamii. shida adui ya mwanamke ni mwanamke ila hawajui wanabaki pambana na wanaume badala ya kupambana...
  5. W

    Vijana chukua fursa: Portable Petrol Station Machine

    mh kwa hali ilivyo sidhani kama wataruhusu hii kitu kuhofia nyakati kama zile zikijirudia italeta hatari kwao kuweza idhibiti kama walivyo dhibiti boda boda kuweza pata hudumuma na watu wa mafuta ya videbe. ila kibiashara ni wazo zuri mana itakuwa msaada kwa wale wenzangu tuliozoea videbe...
  6. W

    Kesi ya Lissu: Mahakama yatupilia mbali ombi la Jamhuri la kuongeza ushahidi

    wanalazimisha kufunguliwa kwa sanduku la PANDORA 🤣 ngoja tuone mana jamaa kaahidi kuwashughulikia ipasavyo popote waendapo.
  7. W

    Usipofanya ngono kwa kipindi fulani (let’s say 60days) unakuwa Reborn upya na energy ya kutisha

    malaya wana imprint nyingi ivyo kuwawia vigumu kupata nguvu chanya na matajiri wengi wenye nishati safi hawafanyi ngono ovyo na malaya zaidi humuweka kinyumba mchepuko aliyetulia kuepuka kuchafuka kiroho. jaribu kutafiti tena huwa makini sana kwenye uchaguzi wao.
  8. W

    PostGE2025 Matokeo ya Kesi ya Lissu na Tume ya Chande YANAJULIKANA, anayetegemea tofauti labda haijui Tanzania

    Meza hupinduliwa lakini si kila meza inapunduka na kila lenye mwanzo huwa na mwisho wake ni swala la muda tu ukitimia ndiyo utaamua yote. tuendelee kuwa watazamaji kwenye hii dunia na tuombeane uzima.
  9. W

    Rachel Dangwa ni supu ya nguru

    Dah yule dada ana balaa na nusu anaweza fanya ukaikimbia simu ghafla na kuikana mbele za watu😅
  10. W

    Nafasi za kazi kwa vijana wenye ujuzi wa kutumia simu janja

    jamaa anatoa majibu mepesi mepesi na watu wapo serious kwa kuitaji kujua assurance yao baada ya kazi
  11. W

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Kiufupi huo mchakato mzima mpaka kubandika sticker ni illegal na huwa hazifanywi kienyeji ivyo.
  12. W

    Wengi hatuna muda wa kujikagua kimwili na kiroho

    Ni mpaka litufike jambo ndo huwa tunazingatia haya Mungu atusaidie tuweze kujitambua wajibu wetu juu yetu kiroho na kimwili.
  13. W

    Naibu waziri utumishi, Regina Ndege: Serikali imetoa kipaumbele cha ajira kwa vijana wenye umri mkubwa

    Nakuona kobazi jinsi hata tafsiri ya lugha inavyo kuvuruga🤣
Back
Top Bottom