Recent content by Wont be the same

  1. W

    POTOSHI Hivi ndivyo Rais Ruto alivyo hivi kwa sasa?

  2. W

    POTOSHI Video ya mtawala wa Mongolia "Black Khan" alipotembelea China mwaka 1440

    Wakuu nimekutana na hii video katika mitandao ya kijamii na kudaiwa kuwa ni ya mtawala wa Mongolia (Black Khan) alipoitembelea China mwaka 1440 katika utawala wa Ming (Ming Dynasty). Je, uhalisia upoje?
  3. W

    FALSE Hon. Kairu steps down from governor aspiration position

    Hon. Kairu steps down from the governor aspirant position. Citing personal reasons; "I have decided to step down from the governor race due to personal reasons. I sincerely thank my supporters for the encouragement and unwavering support throuhout this journey"
  4. W

    FALSE Notice for the Special National Delegates Conference from ODM?

    Is this news published in the Daily Nation newspaper?
  5. W

    SI KWELI Je, Marekani ni kosa kisheria kuvuna maji ya mvua?

    Wakuu nimekutana na hii mtu kaandika huko X "Inasemekana kuvuna maji ya Mvua ndani ya USA ni Kosa na unapigwa faini au kifungo.Mwenye anajua hii atuelezee please"
  6. W

    Waziri mkuu aagiza kiongozi wa CCM aliyetajwa kwenye mgogoro wa ardhi akikutwa na hatia avuliwe madaraka, siyo chama cha kunyang'anya

    Akiwa katika yake Nsimbo, Katavi Waziri Mkuu amepokea malalamiko ya mwananchi aliyedhulumiwa eneo lake na kumtaja kiongozi mmoja wapo wa CCM kuhusika katika mchakato huo ambapo Waziri Mkuu ameagiza kiongozi huyo achnguzwe na akibainika ameshiriki avuliwe uongozi. Amesema chama hicho siyo cha...
  7. W

    Mwigulu: Nimesisitiza kutolimbikiza viporo vya kero na migogoro, kwani inatishia undugu wetu

    Akiwa katika Ziara yake Nsimbo Katavi, Waziri Mkuu Mwigulu ameonya pia mwenendo wa kulimbikiza migogoro jambo linalopelekea kwa kua migogoro hiyo inatishia undugu wetu kama Watanzania. Ameeleza kuwa wakati mwingine wanaosababisha migogoro hiyo ni watu walioamaniwa.
  8. W

    Mwigulu: Mchezo wa wananchi kuagizwa kununua dawa mtaani haukubaliki, duka la mtaani linapata wapi dawa ambazo serikali haiwezi kuiapata?

    Akiwa katika Ziara yake Nsimbo Katavi, Waziri Mkuu ameonya tabia ya vituo vya afya kuwaagiza wanaanchi wakanunue dawa nje ingali nchi una utoshelevu wa dawa katika maeneo ya kutolea huduma za afya. Mwigulu amehoji duka la dawa linaweza kupata wapi dawa ambazo serikali haina?
  9. W

    Mwigulu aagiza kukamatwa na kuwekwa ndani Wakandarasi waliopewa miradi ya Serikali wasiowalipa mafundi (Subcontractor)

    Akiwa katika Ziara yake Nsimbo Katavi, Waziri Mkuu ameagiza wakandarasi wote wanaopewa miradi ya serikali waliolipwa fedha zao zote kisha wao hawawalipi mafundi (sub contractors) wasakwe, wawekwe ndani hadi wazitapike hizo fedha kwani jambo hilo linaichafua serikali kwa kuonekana kuwa hawalipi...
  10. W

    Ziara ya Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba huko Nsimbo, Katavi

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amefanya ziara mkoani Katavi kukagua miradi mbalimbali iliyotekelezwa mkoani humo ikiwemo ujenzi wa shule na hospitali na kuelezea mafanikio yaliyofanyika katika kipindi cha uongozi wa awamu ya sita. Waziri Mkuu ameonya tabia ya vituo vya afya kuwaagiza wanaanchi...
  11. W

    Kibanda: Kuna 'Watu wasiojulikana' wanatisha Waandishi wa Habari

    "Vyombo vya Habari vya Tanzania Vina hali mbaya kiuchumi ndio maana haviko huru, na kuna kundi la watu yanatisha waandishi wa Habari” Absalom Kibanda Kibanda ameyasema hayo alipokuwa akifanyiwa mahojiano katika medani kuu na mwandishi Chief Odemba
  12. W

    SI KWELI Cristiano Ronaldo amewazawadia gari wazazi wa Sadio Mané?

    Itakuwa mambo ya akili unde hayo bila shaka
  13. W

    SI KWELI Cristiano Ronaldo amewazawadia gari wazazi wa Sadio Mané?

    A beautiful gesture of respect and gratitude. ristiano Ronaldo surprising the parents of Sadio Mané with a brand-new Mahindra Scorpio — a moment that shows true brotherhood and appreciation for the people who raised a legend.
Back
Top Bottom